Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 40,734
- 118,636
Mimi nilifikiria wewe ndiyo ungejitolea sasa kuwa huyo highly talented sniper kwa kujifunza mwenyewe kupitia utube, nk. Hii ingekaa vizuri sana. Kwa sababu una wazo zuri.Hivi Bongo hapa hatuna highly talented sniper kama Tyer Robinson?
Mimi niko tayari kumlipa kwa kazi maalumu.
Si ulimuona hata yule Hamza! Hakuajiri mtu. Badala yake alichukua mashine na kuanza kuwatungua wabaya wake mmoja baada ya mwingine, mpaka pale na yeye walipo muotea.