Polisi acheni uongo juu ya Padri aliyetekwa

Polisi acheni uongo juu ya Padri aliyetekwa

Kuna tukio la kuokotwa mwili unaelea jangwani ,wananchi wakasema kwamba ameuawa na "GENGE LA MUUZA MATAIRI K/KOO" ,polisi wakajitokeza wakasema kwamba ule mwili ni wa kijana ambaye anaishi magomeni alikuwa na matatizo ya kifafa siyo kwamba alitekwa ila wananchi wakahoji sawa alikuwa na kifafa ilikuwaje amefungwa kwenye kiroba? Yaani Polisi majibu/taarifa zao ni za MASHAKA MASHAKA sana.
Kwa ufupi polisi wetu wameshaona wabongo ni matoinya tu hatuna sumu, wanaweza kutupa hata maelezo ya kipumbavu kwenye jambo linalohitaji maelezo yakinifu.

Mbaya zaidi siku hata polisi nao wanatetewa na raia kwa majibu hayo ya kipuuzi kwenye mambo mazito
 
Kwa ufupi polisi wetu wameshaona wabongo ni matoinya tu hatuna sumu, wanaweza kutupa hata maelezo ya kipumbavu kwenye jambo linalohitaji maelezo yakinifu.

Mbaya zaidi siku hata polisi nao wanatetewa na raia kwa majibu hayo ya kipuuzi kwenye mambo mazito
Yaani mimi siwezi kuamini taarifa za polisi hata zikiwa zina chembe chembe ya ukweli ,taarifa zao mara nyingi 1% ukweli ,99% uongo.

Taarifa zao wanakwambia majambazi hayo yalikuwa yanarushiana risasi na polisi kwa bahati mbaya wawili walijeruhiwa vibaya wakati wakiwa njiani kupelekwa hospital waliaga dunia ,kumbe walichukulikwa kwenye gari wakapelekwa msitu wa pande wakapigwa risasi za visogo.
 
Yaani mimi siwezi kuamini taarifa za polisi hata zikiwa zina chembe chembe ya ukweli ,taarifa zao mara nyingi 1% ukweli ,99% uongo.

Taarifa zao wanakwambia majambazi hayo yalikuwa yanarushiana risasi na polisi kwa bahati mbaya wawili walijeruhiwa vibaya wakati wakiwa njiani kupelekwa hospital waliaga dunia ,kumbe walichukulikwa kwenye gari wakapelekwa msitu wa pande wakapigwa risasi za visogo.
Jeshi letu la polisi ni la kisenge sana, ninalichukia sana tena sio kidogo.
 
Padri hawezi kufanya biashara direct Wewe tulia biashara ya Mapadre tunazijua ni shule wakati yeye anakua na hisa
I'm not like u man.
Amini unachoamini Mimi naelezea nnachokijua.
Akili yako imefungwa ndani ya box
 
Najua mambo mengi kuhusu kanisa Roman .

Kwanza mapadre au Mafather maisha Yao yote ya kitume yanagharamiwa na Kanisa, kila kitu anachokuwa nacho Padre anakuwa kapewa na Kanisa.

Sasa hayo Madeni yametoka wapi? Maana kama ni hela za Nini?. Kila kanisa PAROKIA Kuna nyumba za mapadri.

Ukitumia Common sense haingii akilini.!!

Polis wa Tanzania akili waliziacha wapi ?
Maana
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, Jordan Kibiki hakutekwa kama ambavyo alieleza kwenye mtandao wa WhatsApp, isipokuwa alitoa taarifa za uongo baada ya kukabiliwa na madeni makubwa.

Anyway Rais wenu amesoma Pakistan na nchi inapelekwa ki pakistan Pakistan


Britanicca
20250929_174930.jpg
 
View attachment 3478955View attachment 3478956
Polisi mpumbavu asiye na akili, hata aliyeishia la pili B can read between the lines kwamba anatumia nguvu za ziada kuulinda uzandiki na kuwalinda mazandiki, obviously the one behind abductions analielekeza jeshi la polisi nini cha kuongea.
Serikali na chama tawala ni uozo mtupu, eti padre kakimbia madeni, lol....!
Ila polisi wanatia huruma, kulazimishwa kutetea kitu kama hicho wakati anajua kabisa wenye akili timamu hawatamuamini.
Tena mafinga, waamini wanatoa sadaka za kutosha. Padri hawezi kuwa na hizo njaa. Inasikitisha sana kwa afande RPC kuingja mkenge.
 
Najua mambo mengi kuhusu kanisa Roman .

Kwanza mapadre au Mafather maisha Yao yote ya kitume yanagharamiwa na Kanisa, kila kitu anachokuwa nacho Padre anakuwa kapewa na Kanisa.

Sasa hayo Madeni yametoka wapi? Maana kama ni hela za Nini?. Kila kanisa PAROKIA Kuna nyumba za mapadri.

Ukitumia Common sense haingii akilini.!!

Polis wa Tanzania akili waliziacha wapi ?
Maana
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, Jordan Kibiki hakutekwa kama ambavyo alieleza kwenye mtandao wa WhatsApp, isipokuwa alitoa taarifa za uongo baada ya kukabiliwa na madeni makubwa.

Anyway Rais wenu amesoma Pakistan na nchi inapelekwa ki pakistan Pakistan


Britanicca

View: https://youtu.be/VUZibDQppxo?si=23brGfsGxwEAXVoF
 
Back
Top Bottom