Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,518
- 1,046
kwani lazima aende bar na mavazi ya kazi
Ivi huwa hawali wala kunywa hata maji?
kwani lazima aende bar na mavazi ya kazi
alimradi havajaa kofia maana yake hayuko zamuHaaaahaaa sasa hapo kosa lake ni nini haswa au kucheza pool ni dhambi unless tuthibitishiwe ulikua wakati wa yeye kua kazini maana hata kwenye ma-bwalo ya polisi wanayo iyo midude.
anajua hataruhusiwa kutoka tena, huwezi jua pengine mkewe ni afande piaNaona kwa sasa wanatafutwa kama pembe za ndovu,ushauri wangu muwe mnaenda nyumbani mbadilishe unifomu ndo muendelee na maisha,huu mpango wa kubana matumizi kwa kutumia uniform utawaaribia kazi.mazima
Naona kwa sasa wanatafutwa kama pembe za ndovu,ushauri wangu muwe mnaenda nyumbani mbadilishe unifomu ndo muendelee na maisha,huu mpango wa kubana matumizi kwa kutumia uniform utawaaribia kazi.mazima
acheni kuwa zalilisha maafande nyie
Huyu afande anaishi kule Pugu Kajiungeni Dar es Salaam,akifika bar ana vituko ni balaa,anapiga miluzi hovyo,anatukana hovyo huwa namuona kama hamnazo. Nasikia siku hizi amapangiwa hapo Gongolamboto kituo kidogo.
kama yupo bwalo la polisi MESS baada ya kazi? kuna kosa
Ivi huwa hawali wala kunywa hata maji?