Hana tumia fursa iliyopoHapo wapi mkuu mbona namfananisha na rafiki yangu mmoja ambae ni trafic!??km ni maeneo ya Bgrn au Ilala anaweza kua ni yy!!
Hana tumia fursa iliyopo
Hasira zake zitahamia kwenye daladala kesho.
Hapo wapi mkuu mbona namfananisha na rafiki yangu mmoja ambae ni trafic!??km ni maeneo ya Bgrn au Ilala anaweza kua ni yy!!
Sasa mtasababisha smatifoni zipigwe marufuku...
acheni kuwa zalilisha maafande nyie
nani kamzalilisha si mwenyewe kachepuka na kuacha njia kuu yakeacheni kuwa zalilisha maafande nyie