Tanzania
tuna Amani sana huwezi kuta askari anapiga raia risasi hovyo hivyo labda uwe JAMBAZI ... Bora kua MBWA DAR kuliko kua mtu mweusi marekani...(najua kuna pingapinga litani-quote kunikumbusha habari za Akwilina) lakini huwezi linganisha na kwakina Freedom and Liberty