Wayemeni wamekinukisha tena Red Sea, wameishambulia manowari ya kivita ya USA

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,883
109,212
Wayemeni kiboko, hawangoji, wakiamuwa wanafanya tu.

Wameishambulia manowari ya kivita ya USA kwa missiles za za Dollar 2,000 nne, ote zimepigwa na missiles za Kamarekani zinazosikiwa kuwa zinagharibu zaidi ya Dollar million moja mpaka million 10 kila moja kwa uchache.

Fikiri hasara za kumlinda Myahudi, watakuwa na missile ngapi kwenye meli zao za kivita kuzuwia mashambuli ya drones za dollar 2,000 kila kukicha?

Hapa USA ama waikimbie Red Sea ama wawachwe uchi na visilaha vya kutengezea uwani.

USA bado wanatumia manowai za kivita ambazo zilikuwa tishio miaka ya 40 na 50 huko, sasa hivi watu wanazihambulia na drones tu. Meli moja ya kivita inabeba missiles 90 za kushambilia labda na 90 za kujihami pamoja na meli za supplies.

Hapo ndiyo maana Mmarekani alikuwa anatafuta vibaraka wake wasaidiane, wamejuwa kuwa wapo "vulnerable."

Myemeni karudia tena kuwa sasa licha ya meli zinazokwnda Israel tu, meli yoyote ya kivita inayokaribia maji yake nayo ni target yao.

Chanzo:


View: https://youtu.be/N9tozCflir8?si=BphkQb8cJ9tGTutS
 
Hivi akili zenu nyinyi watu zikoje? Hasa wewe FaizaFox.

Marekani na washirika wake watakapoanza kujibu mapigo msije mkalalamika hapa, "action and reaction are equal but opposite in direction."

Either, " Good for the Jews is Good for the Gunners, and Bad for the Jews is Bad for the Gunners."

Peoples of Yemen one day will reap what they sow!
 
Huwa mnaanzaga kuwasifia hivihivi hao wavaa vipedo na makobazi wenzenu wanapofanya ugaidi. Watu wakianza Kuretaliate mnaanza kudai ceasefire, sijui haki za binadamu, sijui wanakufa wanawake, watoto na vikongwe bila kuhesabu vifo vya magaidi 🤔
 
Huwa mnaanzaga kuwasifia hivihivi hao wavaa vipedo na makobazi wenzenu wanapofanya ugaidi. Watu wakianza Kuretaliate mnaanza kudai ceasefire, sijui haki za binadamu, sijui wanakufa wanawake, watoto na vikongwe bila kuhesabu vifo vya magaidi 🤔
Dunia hii ina vituko mvaa msalaba wa mbao anamshambilia amayevaa kobazi kama vazi.
😂
 

Attachments

  • IMG_8273.jpeg
    IMG_8273.jpeg
    48.3 KB · Views: 2
Hivi akili zenu nyinyi watu zikoje? Hasa wewe FaizaFox.
Marekani na washirika wake watakapoanza kujibu mapigo msije mkalalamika hapa, "action and reaction are equal but opposite in direction."
Either, " Good for the Jews is Good for the Gunners, and Bad for the Jews is Bad for the Gunners."
Sasa hivi Mmarekani yupo exposed, hana ujanja, atajitutumuwa kidogo lakini watu watamweka sawa kama alivyowekwa sawa na Taliban.

Watu washaijulia miaskari yao mingi mishoga, haina ujanja wa kupigana uso kwa uso, wao wabofye vofye vitufe vya mapigano ya mbali, na watu wanaujuzi wa kuunda drones na missiles uwani tu siku hizi.

Wayemeni ndiyo wamelianzisha na wamemwambia manowari na meli zako zote ni halali yetu. Si kawatangazia vita na kaanza kuunda vibaraka wake waisambaratishe Yemen? Utawaambia nini watu wapo vitani toka wapate uhuru. Wapo tayari kufa anytime, kwao kufia vitani ni sifa kubwa, anaitwa Shaheed.
 
Hivi akili zenu nyinyi watu zikoje? Hasa wewe FaizaFox.

Marekani na washirika wake watakapoanza kujibu mapigo msije mkalalamika hapa, "action and reaction are equal but opposite in direction."

Either, " Good for the Jews is Good for the Gunners, and Bad for the Jews is Bad for the Gunners."

Peoples of Yemen one day will reap what they sow!
Tunaenda mwaka 2024 hizi poyoyo za miaka 2006 ukoo bado mnazo..north korea tu pale wame shindwa
 
Wayemeni kiboko, hawangoji, wakiamuwa wanafanya tu.

Wameishambulia manowari ya kivita ya USA kwa missiles za za Dollar 2,000 nne, ote zimepigwa na missiles za Kamarekani zinazosikiwa kuwa zinagharibu zaidi ya Dollar million moja mpaka million 10 kila moja kwa uchache.

Fikiri hasara za kumlinda Myahudi, watakuwa na missile ngapi kwenye meli zao za kivita kuzuwia mashambuli ya drones za dollar 2,000 kila kukicha?

Hapa USA ama waikimbie Red Sea ama wawachwe uchi na visilaha vya kutengezea uwani.

USA bado wanatumia manowai za kivita ambazo zilikuwa tishio miaka ya 40 na 50 huko, sasa hivi watu wanazihambulia na drones tu. Meli moja ya kivita inabeba missiles 90 za kushambilia labda na 90 za kujihami pamoja na meli za supplies.

Hapo ndiyo maana Mmarekani alikuwa anatafuta vibaraka wake wasaidiane, wamejuwa kuwa wapo "vulnerable."

Myemeni karudia tena kuwa sasa licha ya meli zinazokwnda Israel tu, meli yoyote ya kivita inayokaribia maji yake nayo ni target yao.

Chanzo:


View: https://youtu.be/N9tozCflir8?si=BphkQb8cJ9tGTutS

Allah akbar. Mungu mkubwa. Umoja mshikamano na dua za waislam duniani zitaangamiza wote maadui wa waislam duniani
 
Sasa hivi Mmarekani yupo exposed, hana ujanja, atajitutumuwa kidogo lakini watu watamweka sawa kama alivyowekwa sawa na Taliban.

Watu washaijulia miaskari yao mingi mishoga, haina ujanja wa kupigana uso kwa uso, wao wabofye vofye vitufe vya mapigano ya mbali, na watu wanaujuzi wa kuunda drones na missiles uwani tu siku hizi.

Wayemeni ndiyo wamelianzisha na wamemwambia manowari na meli zako zote ni halali yetu. Si kawatangazia vita na kaanza kuunda vibaraka wake waisambaratishe Yemen? Utawaambia nini watu wapo vitani toka wapate uhuru. Wapo tayari kufa anytime, kwao kufia vitani ni sifa kubwa, anaitwa Shaheed.
Iraq ilikuaje unapoongea jitafakari
 
Sasa mlitaka wapalestina wakose msaada? Mbona America na west zinaisadia Israel mbona hamsemi ila Yemen akiwasaidia Palestina kelele

Keshasema anazuia meli za Israel tu au zinazoenda Israel basi, sasa Marekani yeye kajipeleka kumsaidia Israel basi wapambane. Yemen anasaidia Palestina Marekani anasaidia Israel hapo sawa sawa no blame kwa yeyote

Marekani na Israel zinasikia uchungu wao kuzuiwa kupita bahari ya sham kwa sababu watakosa makontena ya silaha na vyakula na dawa na hapo hapo Israel imezuia misaada yoyote ya chakula na dawa kuingia Gaza. Wenyewe wakiwafanyia wenzao wanaona raha ila wao wanaona uchungu kwa kukosa mahitaji yao muhimu.

Sasa wacha Israel na yeye aonje uchungu wa kukosa chakula na mahitaji mengine kama wanavyowafanyia Gaza, they are getting the test of their own medicine..


VIva YEMENI FREE PALESTINE
 
🚨🇮🇱🇺🇸 BREAKING: Ufaransa, Italia, Uhispania, Uholanzi, Norway, na Denmark, zimekataa kutuma meli za kivita kwa 'Operation Prosperity Guardian' inayoongozwa na Marekani katika Bahari Nyekundu dhidi ya Houthis.
Hawa wanaakili, unapigana majini wenzako wako nchi kavu😂
 
Back
Top Bottom