Kwanini alikuwa anawatoroka police. Waamerica weusi nao Wana mapungufu mengi Sana . Sometimes tusitete kila kitu tunaangalie uhalisia
Kumbe alikuja kuachiwa.? Ila kazi alifutwa na kuhamishwa? Nilisikia kitu kama hiki.Very sad indeed nililia siku hili tukio lilipotokea na muuaji aliachiwa huru kwenye kesi yake eti hakuwa na hatia ila state ilimlipa huyu dada millions in $$$.
Kumbe alikuja kuachiwa.? Ila kazi alifutwa na kuhamishwa? Nilisikia kitu kama hiki.
Kumbe alikuja kuachiwa.? Ila kazi alifutwa na kuhamishwa? Nilisikia kitu kama hiki.
Unaujua uhalisia wa marekani kama sio UMBEAKwanini alikuwa anawatoroka police. Waamerica weusi nao Wana mapungufu mengi Sana . Sometimes tusitete kila kitu tunaangalie uhalisia