USA vs China Aircraft carrier

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
397
1,394
Screenshot_20240109-064225.jpg

China vs USA aircraft Carriers
Tuwe wa kweli China bado safari ndefu

Angalia DUDE la Chini hilo. Kweli China atamuweza USA🇺🇸

Jamani tuache masihara.
 
Uzoefu mkuu , US ndo nchi pekee yenye uzoefu mkubwa Zaid wa Aircraft carrier, Kwa sababu ishawahi kuzitumia katika full scale battle , na zikawa ni only option kwenye ushindi , hvyo aliwekeza research ya kutosha kutokana na uzoefu.! Mshindan wake alikuwa Japan , sema yeye alijitoa mapema na kuachana na siasa za aggressive, akaamua kujijenga kiuchumi Zaid ..

Kwa technology ya sasa ya intercontinental missile na long range war aircraft faida ya aircraft carriers imepunguzwa Kwa kias kikubwa
 
Uzoefu mkuu , US ndo nchi pekee yenye uzoefu mkubwa Zaid wa Aircraft carrier, Kwa sababu ishawahi kuzitumia katika full scale battle , na zikawa ni only option kwenye ushindi , hvyo aliwekeza research ya kutosha kutokana na uzoefu.! Mshindan wake alikuwa Japan , sema yeye alijitoa mapema na kuachana na siasa za aggressive, akaamua kujijenga kiuchumi Zaid ..

Kwa technology ya sasa ya intercontinental missile na long range war aircraft, faida ya aircraft imepunguzwa Kwa kias kikubwa
Imepunguzwa au haina

Maana huko beto alipoenda United Shits Of Americant na hizo ngarawa zake alipigana nanani

Maana tumeona pale houthi tu kaunda muungano halafu kakimbia zake

Hizo ngarawa zingezamishwa kama vidagaa ila kastuka
 
vipi kuhusu tanzagiza? tanzagiga vs US aircraft carriers? kwa maana umeonyesha dharau kwa watu ambao wamejitahidi kutatua matatizo yao wakati wewe kwenye nchi yako umeme unazimwa 12 hrs kila siku, chakula shida, maji safi ya kunywa shida halafu unakwenda dharau China? au wewe ni mzungu labda? wakati mwingine nafikiri mnajisahau sana tu …
 
Unaongea nini wewe,huko Chini ya maji wenzio wana Submarine kila mahali,
Na linaibuka mara moja moja tu ndio makamanda wanakuja juu kupunga upepo.
Subs zipo secured sana sio kama hio mitumbwi

Na hata hizo sub zenyewe kwa vita yakisasa navyo hatari pia

Maana ije ipigwe chuma huko chini izamishwe sub yenye watu zaidi ya mia tano kwakwel ni msiba mkubwa

Hayo mameli yana maana sana ukipigana ama ukiwa unawapiga watoto ila watu wazima bora utulie kwako kume mwapigana tu kwa ma ICBM
 
vipi kuhusu tanzagiza? tanzagiga vs US aircraft carriers? kwa maana umeonyesha dharau kwa watu ambao wamejitahidi kutatua matatizo yao wakati wewe kwenye nchi yako umeme unazimwa 12 hrs kila siku, chakula shida, maji safi ya kunywa shida halafu unakwenda dharau China? au wewe ni mzungu labda? wakati mwingine nafikiri mnajisahau sana tu …
Heheeee itakua yeye Ndhungu
 
View attachment 2865909
China vs USA aircraft Carriers
Tuwe wa kweli China bado safari ndefu

Angalia DUDE la Chini hilo. Kweli China atamuweza USA🇺🇸

Jamani tuache masihara.
Aircraft carrier is useless now days. Or it's depends you are engege war with who otherwise useless. Aircraft carrier only works in very poor countries

Now if you have got missile capability, you have got everything
 
Back
Top Bottom