mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Vita zinazotokea Mashariki ya Kati huwa inaelezwa chanzo ni USA, sababu ni chuki dhidi ya Uisilamu.
Kwanini uisilamu? Kwanini isiwe Waarabu bali ihesabike ni Uislamu? Mbona kuna nchi za kiislamu hazina migogoro mfano; Indonesia, Malasyia na hata Turkey?
Kwanini USA ichukie Uislamu na sio dini zingine kama budha na Hindu?
Kwanini migogoro ya Kiarabu inapewa Sura za Dini?
Tujadilini hoja tu.
Kwanini uisilamu? Kwanini isiwe Waarabu bali ihesabike ni Uislamu? Mbona kuna nchi za kiislamu hazina migogoro mfano; Indonesia, Malasyia na hata Turkey?
Kwanini USA ichukie Uislamu na sio dini zingine kama budha na Hindu?
Kwanini migogoro ya Kiarabu inapewa Sura za Dini?
Tujadilini hoja tu.