Police brutality in USA

Tanzania tuna Amani sana huwezi kuta askari anapiga raia risasi hovyo hivyo labda uwe JAMBAZI ... Bora kua MBWA DAR kuliko kua mtu mweusi marekani...(najua kuna pingapinga litani-quote kunikumbusha habari za Akwilina) lakini huwezi linganisha na kwakina Freedom and Liberty
 
Tanzania tuna Amani sana huwezi kuta askari anapiga raia risasi hovyo hivyo labda uwe JAMBAZI ... Bora kua MBWA DAR kuliko kua mtu mweusi marekani...(najua kuna pingapinga litani-quote kunikumbusha habari za Akwilina) lakini huwezi linganisha na kwakina Freedom and Liberty
Kitu ikiwa hujakutana nacho live ni rahisi kutoa maneno kama hayo. Ila subiri siku yakukute ndio utaelewa. Hata huko Marekani kuna wengine hawajui hizo hadha na pia wanashangaa yanaowafika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazungu wanadeal na African American kama kima shambani, yaani hakuna tahadhari yoyote ile kuhusu uhai wa hawa watu.

Nafkir umefika muda sahihi na hawa Wamerekani weusi nao kulipiza kisasi kila tukio linapotokea walau hawa Askari wajifunze kiwa hawa nao ni binaadamu sawa na wengine.
Polisi wanaua Wazungu wengi kuliko weusi per interaction
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom