DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,181
Reaction score
41,651
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
 
Last edited:
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Hawajajuta kumteka, wajute kumuhamisha?

ACheni vitisho fanyeni kweli tufurahi pamoja jamani nchi yetu hii mna kwama wapi?

Muwe mnatushirikisha ili tuwasaidie, mnakwama sana peke yenu.
 
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda Mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Samia
Britanicca
Bora ikawa kuufikia kama ni njia ya kuufikia ukombozi wa pili
 
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Wewe briticana kama ni mtu wa system basi tuna watu waoga wasio wazalendo na nchi yao hakiyamama pengine Mungu anasababu za kutudmfanya sie wengine tusiwepo kwenye hivyo vyombo maana kwa yanayoendelea sasa hivi nchi hii ingekuwa inazungumza kitu kingine na kabisa.

alafu vyombo vyetu hasa jwtz na tiss mpo kimya kama mateka sio bure mnatukosea sana.

Mtu mwenye haki anapodhulumiwa nafsi yake ni laana kwa nchi nyie watu hawa watu wanatuletea laana katika nchi hii ambayo tutakuja kuilipa heavily.

Refer ya Patrice Patrice lumumba hadi wa leo wacongo wanatumikia karma ile.
 
Back
Top Bottom