Chosen man
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 524
- 733
Ni kweli.Tuanze na yeye huyo uraia wake bila ya shaka una walakini.
Ni kweli.Tuanze na yeye huyo uraia wake bila ya shaka una walakini.
Too late, chocolate mtachofanya itaonekana mnamuonea na kinasambaa duniani within minutes.Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Ipo hivi katibu mkuu ni Rwanda na mwenyekiti ni Burundi na makamu mwenyekiti ni MalawiKuna tetesi ambazo hazijathibitishwa kuwa Katibu ni mamluki wa kinyasa na M/kiti ni Mbegu ya Buja
Sababu ya ujamaa ulioletwa na ccm, ujamaa ni udikteta,lengo kuu kuwasomesha watu namba ili wawe masikini kimakusudi ili waweze tawaliwa,why mkoloni kaja nchi mda mfupi Sana kafanya makubwa Sana kuliko ccm Ina miaka 60 imeshindwa hata tu kufuta nyumba za nyasi Karne ya Sasa unaishi kwenye nyasi we ni mbuzi.Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi zote zinatumika kudidimiza demokrasia kuihujumu kuidhoofisha chadema badala ya maendeleo, pesa inayotumika kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa ni nyingi kuliko inatumika kwa maendeleo
unaota mchana wewe...subutu............tume gani itamtangaza lissuCCM ipi unaisemea kushinda? CCM bye bye ya Ghana Gambia Malawi Congo yanaenda kutokea Tanzania
Sio tu kuamrisha uhamiaji, wanaamrisha kila idara na kila taasisi, ndio maana tunahitaji uhuru ili kila taasisi ifanye kazi kwa uhuru bila kuingiliwa na mkoloni ccm.Yaani CCM mtu akishakua na kacheo hata ka kufagia lumumba ana mamlaka ya kuwaamrisha mpaka uhamiaji na kuwafundisha namna ya kufanya kazi
Shame on you slow slow
Mipango ya kishamba kishetani yote ya CCM inavuja kwa kasi ya 6G kwa sababu wananchi wameichoka CCM wanavujisha kila kitu kwa uwaziToo late, chocolate mtachofanya itaonekana mnamuonea na kinasambaa duniani within minutes.
Hapo ndipo watu watashangaa nini tofauti Tanzania na Burundi
Sio mwaka huu. Na wengi wanaosema maneno kama haya ni wale ambao kula yao inategemea uwepo wa ccm madarakani.wewe akili huna ccm wameshashinda kabla hata ya uchaguzi...hata watanzania wote wapigie chadema ..hujui nchi inaendeshwa vipi
j
Tumeccm hiyo hiyo chombo binafsi cha CCM kwani watakuwa chini ya ulinzi ya jumuia za haki za binadamu Duniani na pia Duniani nzima wameilaani siku ya kura way watashikwa na ganzi wataigeuka CCMunaota mchana wewe...subutu............tume gani itamtangaza lissu
Wao ilikuwa wamzuie asirudi.Mipango ya kishamba kishetani yote ya CCM inavuja kwa kasi ya 6G kwa sababu wananchi wameichoka CCM wanavujisha kila kitu kwa uwazi
Nasikia ndio wanaowaita Interahamwe kuwa ati ni Jeshi la AkibaIpo hivi katibu mkuu ni Rwanda na mwenyekiti ni Burundi na makamu mwenyekiti ni Malawi
hakuna unalojua kuhusu siasa..subiri uwoneSio mwaka huu. Na wengi wanaosema maneno kama haya ni wale ambao kula yao inategemea uwepo wa ccm madarakani.
Pamoja na kutojua kwangu siasa lakini kula yako inategemea uwepo wa ccm madarakani, au sio?hakuna unalojua kuhusu siasa..subiri uwone
subutu.......muulize maalim sefu...walienda mpaka mahakama ya kimataifa..wapiiiii........ccm itashinda hata aje naniTumeccm hiyo hiyo chombo binafsi cha CCM kwani watakuwa chini ya ulinzi ya jumuia za haki za binadamu Duniani na pia Duniani nzima wameilaani siku ya kura way watashikwa na ganzi wataigeuka CCM
Seif hakufika ICC kipindi kile alikwenda mahakama zingine za haki za binadamu, lakini sasa ni mwaka 2020 ICC tayari wanao wapelelezi wa Tanzania wanafanyia kazi kila unyanyasaji wa CCM kwa wapinzanisubutu.......muulize maalim sefu...walienda mpaka mahakama ya kimataifa..wapiiiii........ccm itashinda hata aje nani
subili uwone tarege 28Seif hakufika ICC kipindi kile alikwenda mahakama zingine za haki za binadamu, lakini sasa ni mwaka 2020 ICC tayari wanao wapelelezi wa Tanzania wanafanyia kazi kila unyanyasaji wa CCM kwa wapinzani
Muulizeni yeye kwanza: Athibitishe uraia wake kwa kuleta cheti chake , cha baba na mama yake, na cha babu na bibi yake. Short of that, naye siyo raia.Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
We umejuaje?Mbona haiwajui vizuri katibu mkuu wa CCM na mwenyekiti wa CCM
Bila shaka yeye anatakiwa kuchunguzwa maana kisura chenyew hakieleweki kizee kibabu au kijana....Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Duuh naona hapa kila mtu anaandika lake analolijua.Bila wewe kumpiga risasi Lisu asingefika Belgium, chanzo cha majeraha ya Lisu ni wewe