minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Waanze na katibu mkuu CCM na mwenyekiti wa CCMShekhe Ponda ni Mtanzania kama ilivyo Diamondi Platinamz
Waanze na katibu mkuu CCM na mwenyekiti wa CCMShekhe Ponda ni Mtanzania kama ilivyo Diamondi Platinamz
Kweli ujinga mzigo chakubanga nae ni komrediKomredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Mwaka 2020 jumuia za kimataifa zinataka kufanya yake history za nyuma hazitatumika wanataka kuja kivingine ili CCM ipate fundishounajua watu wanapoteza muda...cuf walishinda mara 2 zaznibar....ilipigiwa simu mwinyi wakakutana na waru wa usalama wakamaliza
Pia katibu mkuu wote Uraia wao ni ukaka
wapiga kura wengi ...mtangaza matokeo mtu mmoja tu.............ccm againPia katibu mkuu wote Uraia wao ni ukakasi
Kuna tetesi ambazo hazijathibitishwa kuwa Katibu ni mamluki wa kinyasa na M/kiti ni Mbegu ya BujaWaanze na katibu mkuu CCM na mwenyekiti wa CCM
NOT QUITE SURPRISED!
... JUST HOW SLUGS BEHAVE WHEN THE ODDS ARE EVEN!
BTW: I LOATHE THE SLIME TRACKS THIS ONE IS LEAVING AROUND!
Tena mchezo wote kaanza kufanya Nyerere.unajua watu wanapoteza muda...cuf walishinda mara 2 zaznibar....ilipigiwa simu mwinyi wakakutana na waru wa usalama wakamaliza
Pia katibu mkuu wote Uraia wao ni ukaka
wapiga kura wengi ...mtangaza matokeo mtu mmoja tu.............ccm againPia katibu mkuu wote Uraia wao ni ukakasi
mtangaza matokeo wa chama gani?Profesa Lumumba utakuwa!
hebu tafasiri
Bila wewe kumpiga risasi Lisu asingefika Belgium, chanzo cha majeraha ya Lisu ni weweMbona unaonyesha woga sana mkuu,
Acha watu wafanye kazi yao.
Isijekuwa tu Lisu kaficha the fact kwamba amebadili Uraia.
Ikibainika habari take inaishia hapo.
Anarudi kwao Belgium.
CCM itawafukuza mwenyekiti wa CCM na katibu mkuu?Hahaha kwani ni mara ya kwanza wageni kuishi nchini au yeye ndiye siyo mwenzetu?!
Afunge balozi zote na afukuze wageni wote ndani ya masaa 48, hata Idd Amin alifanya hivyo na akaondoa wageni aliokuwa hawataki.
Waanze na mwenyekiti wa CCM na katibu mkuu wa CCMBaada ya kuona wamebanwa kwa hoja
Katibu mkuu ni Rwanda na mwenyekiti ni Burundi makamu mwenyekiti ni Malawi
Tabia ya kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani haikuwepo Tanzania ni Tabia ambukizi tokea Nchi zingine jiraniNaunga mkono hoja huko CCM kuna wahutu wengi sana na ndiyo wametuharibia nchi yetu
Mbona umepanic namna hii?unaota wewe mchana unafikilia chadema watashinda? CUF walishinda mara tatu zanzibar...........tume yote ccm ...ngoja uwone
Mbona haiwajui vizuri katibu mkuu wa CCM na mwenyekiti wa CCMSerikali inawafahamu watanzania usihofu kaka
ccm washashinda hakuna panic brp... naona waru wanapoteza mudaMbona umepanic namna hii?
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi zote zinatumika kudidimiza demokrasia kuihujumu kuidhoofisha chadema badala ya maendeleo, pesa inayotumika kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa ni nyingi kuliko inatumika kwa maendeleoKubadili chama sio dhambi, nchi ni katiba bora na sio chama, chama chochote chaweza kuongoza nchi kinapoaminiwa na wengi.
Kuongozwa na chama kimoja mda mrefu udumaza maendeleo, thus miaka 60 hakuna maendeleo, bora hata wangemuachia mkoloni atuongoze tungekuwa mbali Sana sawa na latin america.
Hebu punguza jazba za kike.ccm washashinda hakuna panic brp... naona waru wanapoteza muda
CCM ipi unaisemea kushinda? CCM bye bye ya Ghana Gambia Malawi Congo yanaenda kutokea Tanzaniaccm washashinda hakuna panic brp... naona waru wanapoteza muda