Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau Nawasalimu
Watanzania tunasubiri Kujua Hatima ya Makada 3 wa CCM ambao Wanatakiwa kufika mbele ya Kikao Kizito cha Chama.Makada hao ni Pamoja na Humphrey Polepole,Jerry Slaa na Askofu Gwajima.
Kwa jinsi Walivyojipanga MAKADA hao Wataibwaga CCM Mchana Kweupe bila Ubishi na KUOMBWA RADHI kutokana na Jinsi Walivyo Muhimu kwenye Chama chao.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Watanzania tunasubiri Kujua Hatima ya Makada 3 wa CCM ambao Wanatakiwa kufika mbele ya Kikao Kizito cha Chama.Makada hao ni Pamoja na Humphrey Polepole,Jerry Slaa na Askofu Gwajima.
Kwa jinsi Walivyojipanga MAKADA hao Wataibwaga CCM Mchana Kweupe bila Ubishi na KUOMBWA RADHI kutokana na Jinsi Walivyo Muhimu kwenye Chama chao.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI