johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
- Thread starter
- #41
Fedha!Kwa hiyo ukipandisha bendera hapo unakuwa umezalisha kitu gani hasa....
Fedha!Kwa hiyo ukipandisha bendera hapo unakuwa umezalisha kitu gani hasa....
Na polic kupanga viti ukumbini Kisha kulinda bendera za chama usiku, tunataka wakapange viti ofisi za Chadema na usiku walinde bendera za Chadema, maana wao wao ndo huzishushaMwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma.
Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo.
Polepole amesema hata Ofisi za CCM makao makuu zinalindwa na Suma JKT ambayo ni taasisi ya jeshi na hii yote ni katika kuziunga mkono taasisi hizi.
Polepole alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa ITV Fahmi Midle
Source: ITV Kumekucha