monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,307
Hata wewe ukiwa na kazi unaweza kodi wafungwa wakafanya kwani nini kigen au wenzetu mnaishi wapi?Weka lisit hapa acheni unaa
Hata wewe ukiwa na kazi unaweza kodi wafungwa wakafanya kwani nini kigen au wenzetu mnaishi wapi?Weka lisit hapa acheni unaa
Huwa hawakawii kuyakana matamshi na misimamo yao kama Mwakyembe alivyo kana thesis yake kuhusu katibaatuonyeshe kwanza risit ya manunuzi yake na wajumbe wenzie wa Tume ya Warioba.
mimi risit yangu hii hapa chini
Usitufanye wajinga Kama wanaccm wenzioHata wewe ukiwa na kazi unaweza kodi wafungwa wakafanya kwani nini kigen au wenzetu mnaishi wapi?
Nani aliekwambia mimi ni sisiemu pumbaff wewe?Usitufanye wajinga Kama wanaccm wenzio
Majibu yako tu yanaonesha ww ni ccm, mwana ccm yyte aliko matusi ndo hoja yao kuuNani aliekwambia mimi ni sisiemu pumbaff wewe?
Nilitegemea hili jibu.Mwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma.
Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo.
Polepole amesema hata Ofisi za CCM makao makuu zinalindwa na Suma JKT ambayo ni taasisi ya jeshi na hii yote ni katika kuziunga mkono taasisi hizi.
Polepole alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa ITV Fahmi Midle
Source: ITV Kumekucha
Sawa lowasaMajibu yako tu yanaonesha ww ni ccm, mwana ccm yyte aliko matusi ndo hoja yao kuu
Jifunzeni kujenga hoja na kusimamia hoja yako...kwnn mnakuwa hivyo?Sawa lowasa
Jifunze kwanza kuelewa ndipo uje hapaJifunzeni kujenga hoja na kusimamia hoja yako...kwnn mnakuwa hivyo?
Ndo maana nokakuambia wadanganye wajinga wenzio ccm..ni wajinga tu ndo watakuelewaJifunze kwanza kuelewa ndipo uje hapa
Kama unashindwa kuelewa kuwa magereza wanafanya uzalishaji sasa utaelewa mambo makubwa?
Jifunze kwanza kuandika kwa ufasahaNdo maana nokakuambia wadanganye wajinga wenzio ccm..ni wajinga tu ndo watakuelewa
Yale yaleJifunze kwanza kuandika kwa ufasaha
Na polisi kushusha bendera za upinzani mnawaunga mkono ktk uzalishaji?Mwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma.
Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo.
Polepole amesema hata Ofisi za CCM makao makuu zinalindwa na Suma JKT ambayo ni taasisi ya jeshi na hii yote ni katika kuziunga mkono taasisi hizi.
Polepole alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa ITV Fahmi Midle
Source: ITV Kumekucha
Wangekuwa wanapandisha bendera za Chadema au ACT RPO angebaki na hiyo nafasi? shame on himMwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma.
Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo.
Polepole amesema hata Ofisi za CCM makao makuu zinalindwa na Suma JKT ambayo ni taasisi ya jeshi na hii yote ni katika kuziunga mkono taasisi hizi.
Polepole alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa ITV Fahmi Midle
Source: ITV Kumekucha
Wamebaki kutumia dola pekeeChama kinachopendwa hakiwezi kutumia pesa kupandisha bendera.. wanachama hujitolea wenyewe bila malipo yoyote! Hii inaendelea kudhirihisha kuwa ccm haipendwi! #Ukitoa risiti ya kupandisha utoe na ile ya polisi walivyokuwa wanashusha bendera za chadema kule same!#
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma.
Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo.
Polepole amesema hata Ofisi za CCM makao makuu zinalindwa na Suma JKT ambayo ni taasisi ya jeshi na hii yote ni katika kuziunga mkono taasisi hizi.
Polepole alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa ITV Fahmi Midle
Source: ITV Kumekucha