Polepole: Magereza ni wazalishaji na tuliwaunga mkono ili wapandishe bendera za CCM mitaani na risiti ya malipo tunayo

Mwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma.

Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo.

Polepole amesema hata Ofisi za CCM makao makuu zinalindwa na Suma JKT ambayo ni taasisi ya jeshi na hii yote ni katika kuziunga mkono taasisi hizi.

Polepole alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa ITV Fahmi Midle

Source: ITV Kumekucha
Nilitegemea hili jibu.
Hata kwenye comment yangu nilisema hivyo hivyo.
Sasa tusubiri na jibu la polisi kufanya kazi za tume..
 
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma.

Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo.

Polepole amesema hata Ofisi za CCM makao makuu zinalindwa na Suma JKT ambayo ni taasisi ya jeshi na hii yote ni katika kuziunga mkono taasisi hizi.

Polepole alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa ITV Fahmi Midle

Source: ITV Kumekucha
Na polisi kushusha bendera za upinzani mnawaunga mkono ktk uzalishaji?
 
Chama kinachopendwa hakiwezi kutumia pesa kupandisha bendera.. wanachama hujitolea wenyewe bila malipo yoyote! Hii inaendelea kudhirihisha kuwa ccm haipendwi! #Ukitoa risiti ya kupandisha utoe na ile ya polisi walivyokuwa wanashusha bendera za chadema kule same!#
 
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma.

Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo.

Polepole amesema hata Ofisi za CCM makao makuu zinalindwa na Suma JKT ambayo ni taasisi ya jeshi na hii yote ni katika kuziunga mkono taasisi hizi.

Polepole alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa ITV Fahmi Midle

Source: ITV Kumekucha
Wangekuwa wanapandisha bendera za Chadema au ACT RPO angebaki na hiyo nafasi? shame on him
 
Chama kinachopendwa hakiwezi kutumia pesa kupandisha bendera.. wanachama hujitolea wenyewe bila malipo yoyote! Hii inaendelea kudhirihisha kuwa ccm haipendwi! #Ukitoa risiti ya kupandisha utoe na ile ya polisi walivyokuwa wanashusha bendera za chadema kule same!#
Wamebaki kutumia dola pekee
 
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma.

Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo.

Polepole amesema hata Ofisi za CCM makao makuu zinalindwa na Suma JKT ambayo ni taasisi ya jeshi na hii yote ni katika kuziunga mkono taasisi hizi.

Polepole alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa ITV Fahmi Midle

Source: ITV Kumekucha

Wamenunua watu na hasa wapinzani, sasa wamefikia kuwanunua watu walio chini ya taasisi/idara zilizo chini ya serikali, wakijua kuwa hao viongozi wa hizi taasisi/idara hawawezi kupinga.

Hiyo ndiyo ccm msiyoijua.
 
Back
Top Bottom