Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,177
- 2,551
Kama ana uchungu na Tz, ni nini kinamzuia kuongea hapo hapo??.....ni anataka kuogopewa ili kupata maslahi yake binafsi??
Nyie wa tz kina Mshana Jr, mbona akili zenu ndogo sana, yaani mnategemea mtu ambaye anawapa Dola mda wa maamuzi, maamuzi yapi sasa wajinga nyie?? huoni kama anataka atimiziwe maslahi yake binafsi??
Ww Mshana Jr, tambua Tz imeoza kweli ila kuwategemea polepole na Gwajima ni uongo, TENA NI UFALA MKUBWA SANA NA HAMNA AKILI.
Mtu pekee wa kumwamini na kumpigania ni TUNDU LISSU ambaye kwa sasa yupo gerezani... sawa nyie wajinga
Kuhusu inshu ya Polepole na Gwajima nipo pale, ni hamna kitu hawa wote wamepangwa na CCM..... Mshana Jr mark this
Nyie wa tz kina Mshana Jr, mbona akili zenu ndogo sana, yaani mnategemea mtu ambaye anawapa Dola mda wa maamuzi, maamuzi yapi sasa wajinga nyie?? huoni kama anataka atimiziwe maslahi yake binafsi??
Ww Mshana Jr, tambua Tz imeoza kweli ila kuwategemea polepole na Gwajima ni uongo, TENA NI UFALA MKUBWA SANA NA HAMNA AKILI.
Mtu pekee wa kumwamini na kumpigania ni TUNDU LISSU ambaye kwa sasa yupo gerezani... sawa nyie wajinga
Kuhusu inshu ya Polepole na Gwajima nipo pale, ni hamna kitu hawa wote wamepangwa na CCM..... Mshana Jr mark this