Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Hivi Polepole hana kazi kule Lumumba? Kila anapokwenda Rais na yeye yumo. Wataalmu wa siasa wa JF naomba msaada wenu hii imekaaje mpaka anamtia aibu rais kumwekea mlevi wa viroba kuhutubia Taifa.
Zamani nilidhani viroba vipo UKAWA tu kumbe hata wana CCM wameona vinalipa maana naona hata Polepole naye alikua kishakunywa viroba labda.
Zamani nilidhani viroba vipo UKAWA tu kumbe hata wana CCM wameona vinalipa maana naona hata Polepole naye alikua kishakunywa viroba labda.