Lugha ngumu. Labda alitaka kuandika alikohoa! Hahahahaaa!Alcoho ni gari gani ilo jmn?
Alcoho ni gari gani ilo jmn?
Lugha ngumu. Labda alitaka kuandika alikohoa! Hahahahaaa!
Ulichokisema wewe ni sahihi kabisa tuna kaubaguzi hata mm nakili hiloMikutano ya kisiasa si ilikatazwa ama kwa upinzani tu!!! mlisema watu hawatofanya kazi ssa nauliza hapo kwa magufuli watu ndio wanafanya kazi ila akija mbowe ndio hawafanyi kazi ama??
weusi nirangi ya kujivunia sisi waafrika Sasa ww mzungu au mtamani uzungu shabikia weupe ukiweza jichubue!!Mashinji ndio ana sura ya kupendwa sio? Kwanza mtu mwenyewe mweusi tii kama mkaa.
Sio wote boss.weusi nirangi ya kujivunia sisi waafrika...
Acha kujibaraguzaWewe pia umenielewa ndio maana umekuja!!
Ilani na mambo ya ulevi wapi na wapi? Kama huna hoja kaa kimya.
unaisemeaje hii ya sumayi kwenda kukagua miradi ya maendeleo dslKwani huo ni mkutano wa ccm au wa rais??? Kma ni kukabidhi kadi kwenye mkutano wa hadhara ssa kivp azuie mikutano ya wapinzani??? Si yale yale yye anafanya?? Kma sio muda wa siasa hizo kugawa kadi na mapambio ya ccm yanafanya nni hapo jukwaani???
Mradi ni siasa??? Si hta wwe unaweza kwenda kma mwananchi mpenda maendeleo??? Au hufurahii wakienda na kuchangia pesa kwa ajili ya maendeleo???kumbuka pale hamna mkutano ni watu wawili watatu wanaongozana kwenye mradi basi yanaisha huko hukounaisemeaje hii ya sumayi kwenda kukagua miradi ya maendeleo dsl
CCM ni chama dola, kiongozi yeyote mkuu ndani ya CCM ni kiongozi wako, Chama kinaongoza dola, Polepole anaeneza Ilani ya chama, lazima awepoMradi ni siasa??? Si hta wwe unaweza kwenda kma mwananchi mpenda maendeleo??? Au hufurahii wakienda na kuchangia pesa kwa ajili ya maendeleo???kumbuka pale hamna mkutano ni watu wawili watatu wanaongozana kwenye mradi basi yanaisha huko huko
Sasa polepole kagawa kadi na wananchama kawaita na kanadi sera za ccm na katiba yao ssa ile sio siasa??? Au siasa ni pale tundu lisu au ben kigaila akiongoza mkutano wa M4C kalenga?????
Funny na undumilakuwili wenu