Tena za Kuwazidi wana 'Ukoo' wako wote hapa duniani.We una akili?
Ushahidi ni wale Covid-19Toa mfano na weka ushahidi!
Usijibaraguze, kama watu hawakuambii basi acha mi nikuokoe na aibu ya kuonekana mjingaHata Mimi sasa nimeamini kuwa Wewe ni bonge la Pumbavu / Popoma / Bumunda lililotukuka kabisa kuwahi kutokea hapa katika Jamvi hili Pendwa.
We lie and dramatize so much that, governance seems like another futuhi. Utumishi wa umma umebadilishwa TORs, and not in a constructive way.Unaacha Kuwaambia CHADEMA wako ( hasa Kurugenzi yenu ya Habari ) nao Wawe Wabunifu kama Wenzao wa CCM kwa kutumia kila Fursa katika Kujitangaza na kujiweka karibu hasa Kiimani na Kiitikadi za Kisiasa Wewe kilichopo Akilini mwako ni Majungu na Lawama tu pekee. Na ni Ubunifu kama huu anaofanya sana Polepole ndiyo unaing'arisha zaidi CCM na Kuaminika kwa Watu huku nyie mkilia lia kama 'Wehu' fulani vile.
Unaacha Kuwaambia CHADEMA wako ( hasa Kurugenzi yenu ya Habari ) nao Wawe Wabunifu kama Wenzao wa CCM kwa kutumia kila Fursa katika Kujitangaza na kujiweka karibu hasa Kiimani na Kiitikadi za Kisiasa Wewe kilichopo Akilini mwako ni Majungu na Lawama tu pekee. Na ni Ubunifu kama huu anaofanya sana Polepole ndiyo unaing'arisha zaidi CCM na Kuaminika kwa Watu huku nyie mkilia lia kama 'Wehu' fulani vile.
Kwani chadema wanasemaje hawajatoa tamko bado
Kupunguza kama siyo Kuondoa kabisa 'Wapumbavu' kama Wewe hapa nchini Tanzania ambao kiukweli ndiyo 'mnatuchelewesha' katika Maendeleo.Matokeo chanya ya kazi zenu yapo wapi??
Mbona hata Mimi pia nimekuambia kuhusu 'Ujuha' wako wote ambao yawezekana Watu wakawa wanaogopa Kukuambia ili Mimi 'nimekuchana' leo.Usijibaraguze, kama watu hawakuambii basi acha mi nikuokoe na aibu ya kuonekana mjinga
Mtu maskini unasema watu wasifanye kazi saa tatu usiku eti ni udikteta wakati matajiri wanafanya kazi saa 24. Watu wa SACCOSS hovyo sana hayo anayoyafanya Haraka haraka ni kwa manufaa ya taifa ikiwa pamoja na wewe mwenyewe, babu/bibi zako na wanjamii wanaokuzunguka.Katibu mwenezi wa CCM na mbunge wa kuteuliwa anaendesha kipindi mubahara cha "Papo Kwa Papo" saa 3 usiku lkn anawapigia simu watendaji wa serikali akitaka watolee ufafanuzi baadhi ya kero za wananchi.
Yaani anataka mambo ya kiofisi (ya kikazi) yatolewe ufafanuzi muda wa kukaa na familia ama kustarehe.
Anachokifanya mhe Polepole siyo udikteta?
Mbona anakiuka sheria na taratibu za kazi?
Watendaji wakitoa takwimu ama taarifa zinazokinzana watalaumiwa?
Wakigoma kupokea simu watendaji hawa watalaumiwa?
Tumemstukia Polepole kumbe anafanya Futuhi. Kishawapanga hao wajinga wenzake anaowapigia ili hiyo komedi iruke hewani.hayo anayoyafanya Haraka haraka ni kwa manufaa ya taifa ikiwa pamoja na wewe mwenyewe, babu/bibi zako na wanjamii wanaokuzunguka.
Keyboard warriors...mnajua Sana kusemaWapumbavu ni hao watendaji
Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Anatafuta visingizio vya kuwafukuzisha kazi kuwa wamemdharauWapumbavu ni hao watendaji
Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Lililo wazi ni kuwa wewe ni MSHAMBA. Au umeingia mjini siku za karibuni na shule ndio iliyokuleta mjini. Mara nyingi watu wa aina yako ni tatizo sana kwani wanajihisi wanajua kuliko wengine wakati sivyo.Mbona hata Mimi pia nimekuambia kuhusu 'Ujuha' wako wote ambao yawezekana Watu wakawa wanaogopa Kukuambia ili Mimi 'nimekuchana' leo.