Polepole aunga mkono zoezi la Push Up

Polepole aunga mkono zoezi la Push Up

Kuna video inayosambaa kwa kasi ikimuonesha Humphrey Polepole akipiga Push Ups huku akiwa na vazi la suti.

Hii ni kumuunga mkono JP MAGUFULI.

Kiafya zoezi la pushup lina faida za kiafya.

Nashauri kabla ya kampeni wana ccm lazima wapige Push ups 5 rounds na inapowezekana na wananchi wafanye hivyo.Taifa linaandaliwa kufanya kazi tu.

#hapakazitu

So what after you have done those 'push-ups'
 
Kuna video inayosambaa kwa kasi ikimuonesha Humphrey Polepole akipiga Push Ups huku akiwa na vazi la suti.

Hii ni kumuunga mkono JP MAGUFULI.

Kiafya zoezi la pushup lina faida za kiafya.

Nashauri kabla ya kampeni wana ccm lazima wapige Push ups 5 rounds na inapowezekana na wananchi wafanye hivyo.Taifa linaandaliwa kufanya kazi tu.

#hapakazitu


Jinga jinga aka lemutuz kubwa jinga

Pale chimwaga huwa mnapigaga push ups?
 
Huyo ataunga mkono hata mtu akita.pika. ana sababu binafsi. Hata mkeo/mumeo akikosea huambiwa makosa yake. Sio kuunga mkoni kila jambo
 
Tume ya kukusanya maoni ya wananchi ilikuwa na wajumbe wengi tu. Pole pole hakuwa hata katibu wa tume. Tumechoka kusikia habari za huyu Polepole lets hear from real intellectuals!!!!!!! Huyo analipa fadhila za mamilioni aliyojikusanyia kwenye tume for personal interest not for nation at large.
 
Sloslow anajipendekeza hadi aibu, ikija sera ya ucameron tz lazma mzee wa push up avute chombo!
 
Jamani, si Lowassa nae apige pushups sasa? Kakatazwa? Au semeni basi yeye ana lipi la ajabu tulizungumzie?
 
Kuna video inayosambaa kwa kasi ikimuonesha Humphrey Polepole akipiga Push Ups huku akiwa na vazi la suti.

Hii ni kumuunga mkono JP MAGUFULI.

Kiafya zoezi la pushup lina faida za kiafya.

Nashauri kabla ya kampeni wana ccm lazima wapige Push ups 5 rounds na inapowezekana na wananchi wafanye hivyo.Taifa linaandaliwa kufanya kazi tu.

#hapakazitu

So interesting. Ngosha the Champion ni Noma sana!
 
Njaa ya tumbo ni mbaya sana kuliko ya akili
Hii inasaidia sana kama una mchafuko wa tumbo Uharo hauwezi kuachia
Push-up ziwe zinapigwa jabla ua kuhutubia Kampeni zozote
ndipo mtu apewe Mic
 
Kama.uraisi ni mazoezi basi mabaunsa waingie ikulu kwani hao wanaopiga pushup wanapiga chache sana ..anayepiga nyingi ndio raisi wa tz...kweli sisi wajinga!!
 
Uwenda Pole pole amekuwa mwendawazimu, dhihaka ni kitu kibaya sana. Ipo siku watakumbuka hayo kwa majuto.
 
Amini alimtaka mwalimu Nyerere ulingoni wapige masumbwi .Nyerere alimdharau ni hatima yake alimng'oa.mazoezi sio push ups peke yake!
 
Push up ndo imekua alama ya kuwa fit huku kitaa, mbele za watu wee PIGA PUSH UPS zako kujenga afya pia kama ishara ya kumuunga mkono JPM na kuwapinga watu wasio na misimamo wa chadema ya Mbowe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom