Mimi sina njaa kama huyo Pole Pole.... Tokea 2012 hana kazi hapa mjini ili apate pesa ya kuweka ugali mezani lazima atumike na CCM... Lasivyo hapa ni mjini ataingizwa guest
Kama wewe jinsi fisadi Lowassa anavyokuweka mjini, bila kumtumikia Lowassa unalala njaa wewe,endelea kumtumikia fisadi.