Myself is highly impressed by this guy.
Hicho ni kizungu kibovu; ungeandika "I am highly impressed by this guy"!
Myself is highly impressed by this guy.
Hasimamii sera anasimamia ustawi wa chamaMabadiliko ndani ya ccm ni ndoto za mtu akiwa anatembea. Huyu mjamaa ni kigeugeu wewe muumini wa serikali tatu utasimamia Sera za serikali mbili? Chizi mkubwa
Haaminiki kwa nani? Mbona anateuliwa kwenye posts mbalimbali? Jitahidi umwelewe,ndiyo utamwaminiHaaminiki huyu naye
Wengine wanachumia wp?huyu Pole pole ni mchumia tumbo sijapata kuona mwingine kama yeye!
Mkuu ni ngumu kumwelewa huyu jamaa, hana msimamo kabisa.Haaminiki kwa nani? Mbona anateuliwa kwenye posts mbalimbali? Jitahidi umwelewe,ndiyo utamwamini
Asante. Ila ujumbe umeupata.Hicho ni kizungu kibovu; ungeandika "I am highly impressed by this guy"!
Sasa hayo ni mambo binafsi hayakuhusu au unataka kumtafutia mke?Huyu jamaa mpaka Leo sijuagi kama ni Mzee au kijana
Sina uhakika kama unajitambua, je cheo cha polepole humo kwenye chama ni? Je ni katibu wa ustawi au wa Sera?Hasimamii sera anasimamia ustawi wa chama
Sio mabadiliko pekee, ni mageuzi ya makusudi pia yanayotarajiwa kushuhudiwa kwa kiwango chake ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kufanyika mabadiliko ya uongozi. Hali hiyo imejidhihirisha kupitia kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho tawala, Humphrey Polepole aliyoitoa hivi karibuni katika mahojiano na kituo cha Uhuru FM kinachomilikiwa na chama hicho. Alisema chama hicho kinafanya mageuzi ya makusudi, ajenda ambayo alidai ingawa ilikuwapo toka awali haikupata mtu wa kuisimamia kama alivyoonesha nia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho, Dkt. Magufuli.
Ni bora uwe hivyo hivyo huna uhakika. Cheo chake unakijua kazi yake ni kusimamia chama bila kujali kinaongoza serikali moja mbili ama tatu.Sina uhakika kama unajitambua, je cheo cha polepole humo kwenye chama ni? Je ni katibu wa ustawi au wa Sera?
you can find he is more than times better=you can find he is ten times better than!Give Him time. You can find he is more than ten times better. Myself is highly impressed by this guy.
KijanaHuyu jamaa mpaka Leo sijuagi kama ni Mzee au kijana
Alikua anasema kaka Angu Nape analopoka ye kaanza mapema hivi...Sio mabadiliko pekee, ni mageuzi ya makusudi pia yanayotarajiwa kushuhudiwa kwa kiwango chake ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kufanyika mabadiliko ya uongozi. Hali hiyo imejidhihirisha kupitia kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho tawala, Humphrey Polepole aliyoitoa hivi karibuni katika mahojiano na kituo cha Uhuru FM kinachomilikiwa na chama hicho. Alisema chama hicho kinafanya mageuzi ya makusudi, ajenda ambayo alidai ingawa ilikuwapo toka awali haikupata mtu wa kuisimamia kama alivyoonesha nia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho, Dkt. Magufuli.
Asavali ccm inahitaji mabadiliko ya kutisha siSio mabadiliko pekee, ni mageuzi ya makusudi pia yanayotarajiwa kushuhudiwa kwa kiwango chake ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kufanyika mabadiliko ya uongozi. Hali hiyo imejidhihirisha kupitia kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho tawala, Humphrey Polepole aliyoitoa hivi karibuni katika mahojiano na kituo cha Uhuru FM kinachomilikiwa na chama hicho. Alisema chama hicho kinafanya mageuzi ya makusudi, ajenda ambayo alidai ingawa ilikuwapo toka awali haikupata mtu wa kuisimamia kama alivyoonesha nia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho, Dkt. Magufuli.
Aiseee kumbe nawe kama Mimi.....hakika nimeitazama picha take pia nikajiuliza hivyo na si Leo tu....Huyu jamaa mpaka Leo sijuagi kama ni Mzee au kijana
he is too bookish,schoolish,intellectual and soft!haiwezi mikikimikiki ya siasa!siasa zinataka za tz,na hasa kwa cheo chake,mtu aggressive,rough,talkative ndio ila awe rude!watu kama pole pole iliwafaa wawe a.c.t wazalendo au chadema!polepole angebakisha "uthubutu" wa nape,aongezee umakini wake halafu a-minus udomokaya wa nape!Pamoja na mapungufu ya hapa na pale ya Nape Mnauye, lakini bado viatu vyake vitampwaya sana Mr. Polepole!
HP radiates very faint power!
That's my observation! (I'm terribly sorry for whoever inconvenienced!)
NB: A good political analyst is not necessarily a great demagogue!
he is too bookish,schoolish,intellectual and soft!haiwezi mikikimikiki ya siasa!siasa zinataka za tz,na hasa kwa cheo chake,mtu aggressive,rough,talkative ndio ila awe rude!watu kama pole pole iliwafaa wawe a.c.t wazalendo au chadema!polepole angebakisha "uthubutu" wa nape,aongezee umakini wake halafu a-minus udomokaya wa nape!