Ng'egera
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 766
- 419
Ni sawa na padri kuwa imamu wa msikitiMabadiliko ndani ya ccm ni ndoto za mtu akiwa anatembea. Huyu mjamaa ni kigeugeu wewe muumini wa serikali tatu utasimamia Sera za serikali mbili? Chizi mkubwa
Ni sawa na padri kuwa imamu wa msikitiMabadiliko ndani ya ccm ni ndoto za mtu akiwa anatembea. Huyu mjamaa ni kigeugeu wewe muumini wa serikali tatu utasimamia Sera za serikali mbili? Chizi mkubwa
hapo cjui anacheka/tabasamu au analiaHuyu jamaa mpaka Leo sijuagi kama ni Mzee au kijana
Hasimamii sera anasimamia ustawi wa chama
Ni rahisi kumbadili mbuzi akawa ng'ombe kuliko kukibadili chama hicho. Polepole he is in for failure. Kama anataka kujiridhisha basi aanze na ile imani yake ya katiba ya Warioba. Ajaribu kuwabadili msimamo hao wakomunisti wenzake aone nn kitatokea...
Umeniwahi. Nilitaka kuuliza.Huyu jamaa mpaka Leo sijuagi kama ni Mzee au kijana
Boss wa ufisadi c mmemchukuaChama kimejaa wezi na mafisadi unategemea mabadiliko gani?! Kingunge alishasema kimeishiwa pumzi!
UmmaWengine wanachumia wp?
We ndo kiwango toka lini?you can find he is more than times better=you can find he is ten times better than!
myself is highly impressed by this guy=i am highly impressed by this guy!
Ina maana wana mpango wa kuachana na rangi ya mbogamboga?Ndio ule mpango wao wa Ku re brand chama?,nasikia na rangi watabadili