Naona umekuwa banned, kosa ni nini?wanafurahia kuuwa watu ili waendelee kutawala. utawala wa kipumbavu sana huu kuwahi kutokea katika nchi hii.
Naona umekuwa banned, kosa ni nini?wanafurahia kuuwa watu ili waendelee kutawala. utawala wa kipumbavu sana huu kuwahi kutokea katika nchi hii.
Hivi kweli kwa akili yako bado unaamini kwamba viongozi wetu wana dhamiri iliyo hai? maneno kama hayo uambiwa watu wanaotafakari na ambao hawajaua dhamiri zao.Jana nilikusikia kwenye tv ukisema ccm imezoea kushinda hivo kinondoni mmeshaanza kutayarisha tafrija.
swali, mkurugenzi alitoa kwa mawakala wa ccm wote hati za viapo mapema na akawakatalia wa vyama vingine hadi yametokea yaliyotokea hadi wengine kupotezamaisha je hapo kuna uchaguzi ni wa haki na huru?
swali la pili nikikukumbusha ukiwa unapigia debe katiba pendekezwa uliwahi kusema uchaguzi ukiwa huru na wa haki ccm haiwezi kushinda sasa hivi unasemaje?
huoni kama unapwaya sana jinsi ya kumshauri mkubwa hadi nchi yetu inachafuka kimataifa na je una nafasi gani ya kujiangalia mwenyewe hata baada ya utumishi wako ndani ya chama hasa kwa mchango wa kuipeleka mbele Tanzania iwe na jina zuri kinyume na sasa ambapo tunaelekea kwenye udikteta?
Na police hawajareact before or after? Basi mporaji na polisi lao moja!Kwa mujibu wa itv live, huko magomeni kituo cha idrisa, kuna watu wameenda na gari wakachukua sanduku la kura wakaondoka nalo, baada ya dk 10 wakarejesha na gari
pia alisema wameshatoa maelekezo kwa polisi kuhakikisha hakuna anayefurukuta. tumeona wametii maagizo yake wamemwaga damu isiyo na hatiaJana nilikusikia kwenye tv ukisema ccm imezoea kushinda hivo kinondoni mmeshaanza kutayarisha tafrija.
swali, mkurugenzi alitoa kwa mawakala wa ccm wote hati za viapo mapema na akawakatalia wa vyama vingine hadi yametokea yaliyotokea hadi wengine kupotezamaisha je hapo kuna uchaguzi ni wa haki na huru?
swali la pili nikikukumbusha ukiwa unapigia debe katiba pendekezwa uliwahi kusema uchaguzi ukiwa huru na wa haki ccm haiwezi kushinda sasa hivi unasemaje?
huoni kama unapwaya sana jinsi ya kumshauri mkubwa hadi nchi yetu inachafuka kimataifa na je una nafasi gani ya kujiangalia mwenyewe hata baada ya utumishi wako ndani ya chama hasa kwa mchango wa kuipeleka mbele Tanzania iwe na jina zuri kinyume na sasa ambapo tunaelekea kwenye udikteta?
JF ukikisema sana chama cha majambazi unapigwa banNaona umekuwa banned, kosa ni nini?
Hahahahaha! Eti chama cha majambazi?!JF ukikisema sana chama cha majambazi unapigwa ban
Hawa mwisho wao umewadia watapukutika kisiasa kama moto wa mabuaUnamuuliza huyu polepole aliyekuwa mkuu wa wilaya akipinga ukuu wa wilaya?
SHING'WENG'WE MZIMU MUMIANI LA KisukumaKwa damu iliyomwagika jana chakubanga roho yake kwatuuuuuuu