Jana nilikusikia kwenye tv ukisema ccm imezoea kushinda hivo kinondoni mmeshaanza kutayarisha tafrija.
swali, mkurugenzi alitoa kwa mawakala wa ccm wote hati za viapo mapema na akawakatalia wa vyama vingine hadi yametokea yaliyotokea hadi wengine kupotezamaisha je hapo kuna uchaguzi ni wa haki na huru?
swali la pili nikikukumbusha ukiwa unapigia debe katiba pendekezwa uliwahi kusema uchaguzi ukiwa huru na wa haki ccm haiwezi kushinda sasa hivi unasemaje?
huoni kama unapwaya sana jinsi ya kumshauri mkubwa hadi nchi yetu inachafuka kimataifa na je una nafasi gani ya kujiangalia mwenyewe hata baada ya utumishi wako ndani ya chama hasa kwa mchango wa kuipeleka mbele Tanzania iwe na jina zuri kinyume na sasa ambapo tunaelekea kwenye udikteta?
swali, mkurugenzi alitoa kwa mawakala wa ccm wote hati za viapo mapema na akawakatalia wa vyama vingine hadi yametokea yaliyotokea hadi wengine kupotezamaisha je hapo kuna uchaguzi ni wa haki na huru?
swali la pili nikikukumbusha ukiwa unapigia debe katiba pendekezwa uliwahi kusema uchaguzi ukiwa huru na wa haki ccm haiwezi kushinda sasa hivi unasemaje?
huoni kama unapwaya sana jinsi ya kumshauri mkubwa hadi nchi yetu inachafuka kimataifa na je una nafasi gani ya kujiangalia mwenyewe hata baada ya utumishi wako ndani ya chama hasa kwa mchango wa kuipeleka mbele Tanzania iwe na jina zuri kinyume na sasa ambapo tunaelekea kwenye udikteta?