Polepole apuuzwe kuhusu gesi

Umepuuzwa wewe
 
1.Cuba ni nchi ya kijamaa(socialist) hivyo serikali hutenga ruzuku kubwa kwa ajili ya manunuzi na kuendeleza miundombinu ya gasi,ila tanzania bei elekezi hutegemea zaid soko la dunia (market based),gharama za uagizaji na kodi za ndani.
Hata Serikali ya Tanzania oia inatoa ruzuku kwa makampuni y gesi ila wai ndio wanafaidika zaidi, hawapunguzi bei kwa wateja ambao ni watanzania.
 
K.......yoyoyoyoyoyoyoyoyo
 
Ulio kuwa unaunganishwa kwa 27000 ni umeme wa REA tu ambao hasa ni mahususi kwa ajili ya vijijini na mpaka sasa ndo bei.

Na huo mradi wa REA ulibuniwa na kikwete na sio magufuri.
Samia alishaondoa hiyo 27000 alisema haiwezekani

Ni kama issue ya gas wakati kikwete akiingia mkataba alisema gas ikikamilika kila mtanzania atakuwa nayo kulingana na gharama nafuu lkn baada ya kukamilika ndio kwanza inapanda kila siku.
 
Taifa gas ni kampuni sidhani kama hata ina miaka mitano toka kuanzishwa kwake, zipo kampuni kongwe nyingi za gas za kupikia kama Oryx, Mihan, lake nk. na kwasasa zimeongezeka nyinginezo kama Puma nk.

Sijui kwanini inashambuliwa Taifa gas na siyo haya makampuni mengine ya gas maana wote soko lao ni moja na bei zao ni zilezile.
Na mbaya zaidi hawa wengine walikuwepo kabla ya Taifa gas.

Taifa gas wamepewa yard kubwa pale Mombasa kufungua plant na kuuza gas Kenya.
Sasa sijui nako RA anahisa huko na Raila au GOK?

Nimejaribu kuwaza tu kivingine.

safarini Hodeidah Yemen.
 
ChatGPT
ChatGPT
 


Sijui kama tutpona aisee.
Mana ugonjwa wa ufisadi na uzandiki ukisha ambatana na watu vichwa maji sawa n wasomi wa nchi hii. Ni ngum sana kutubika hapo.
 
Wewe ndio tunakupuuza.
 
Walamba nyayo za viongoz na machawa naona mnajitokeza mmoja baada ya mwingine 🤣🤣🤣!!! Pole2 kaishi Cuba mpingaji yupo huko nyanzenda shinyanga!!
 
Ulio kuwa unaunganishwa kwa 27000 ni umeme wa REA tu ambao hasa ni mahususi kwa ajili ya vijijini na mpaka sasa ndo bei.

Na huo mradi wa REA ulibuniwa na kikwete na sio magufuri.
Ulibuniwa au ni kwa misaada wa kampuni ya kimarekani
 
Polepole ni muongo, kinachosikitisha vijana wa Chadema kila utombo anaoropokwa Poleole wao wanajibebea tu
 
Polepole anawadanganya Watanzania, Kwa lugha ya mitaani anawalisha matangopori. Ukweli kuhusu bei ya gesi Cuba huu hapa: What's Behind the Cooking Gas Shortage in Cuba? - Havana Times
 
Na ww kwel unastahili kulipwa? Huoni umechangia uharo wa juzi ,yaan ukijua unafuta ukicho andika !!
 
Ulio kuwa unaunganishwa kwa 27000 ni umeme wa REA tu ambao hasa ni mahususi kwa ajili ya vijijini na mpaka sasa ndo bei.

Na huo mradi wa REA ulibuniwa na kikwete na sio magufuri.
Nimeunganisha Umeme kwa elfu 27 na sio REA
 
Wakati vyawa wakitetea vyeo vyao ni kama hivi tunavyoona
 
Mama anapiga kampeni za nishati safi ya kupikia ambayo ni gesi ya mtungi...

Wauza gesi ni kina Rostam, Lake Oil, Oryx, Puma n.k...

Ile gesi ya asili watumiaji ni wa kuwahesabu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…