Hata kama ni ya sekunde hii, lazima tukubali kuwa watu humu waache ujuaji na haswa kwa vitu wasivyokuwa na uelewa navyo. Ubalozi ni tofauti na appointment zingine, ubalozi lazima ipelekwe nyaraka ya appointee nchi husika, kisha nchi husika baada ya kujiridhisha iseme sawa aje au asije. Sasa huko kujiridhisha inachukua muda, na watu waelewe nchi anapoenda wanaweza mkataa kutokana sababu kadha wa kadha.Mleta mada ni mpumbavu sana!
Leta ushahidi kwamba hiyo twit ni ya leo
Yaani amesoma muda mrefu sana, nadhani atakuwa na kichwa kizito, nawaza eti naye alikuwa na darasa la uongozi wakati shule fupi ya diplomasia imemtoa jashoKwani ile shule ya diplomasia alifaulu masomo yote?
Maybe kuna kimeo anatakiwa ku-clear before departing...
Anataka kuendelea kufundisha shule ya uongozi kataa wahuni wewe inakuuma nini?Hivi ni nani anahudumia watanzania kwa huduma za ubalozi? Nani anafanya kazi za Tanzania huko Malawi? Polepole anazunguka tu humu nchini wakati hapo Malawi hata kwa basi la Sauli au Super Feo anafika