Polepole alikuwa anafanya vitu kijinga sana sijui alikuwa anaficha ficha nini kuongea kwa code

Polepole alikuwa anafanya vitu kijinga sana sijui alikuwa anaficha ficha nini kuongea kwa code

Scared

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,847
Reaction score
17,503
Yaani alikuwa kila siku anaongea kwa kuficha ficha anaacha kumwaga Kila kitu hadharani sijui alikuwa anaficha ficha nini mwisho wa siku wamemnyakua kabla hata mengine hajaongea

Kapata alichokuwa anakitafuta. Kama umeamua kumwaga mambo Yao wewe nyooka tu kama Kapteni Tesha sio unaongea kwa mafumbo mengii
 
Tupiganie mtu kusema lolote bila kuzibwa mdomo wala kushurutishwa kunyamaza na kama anasingizia watu au kuwachafua ndio maana kuna Mahakama za Madai mtu unaweza kupeleka jambo lako kama umechafuliwa....

Nadhani tunaendelea ku-deal na symptoms na sio root cause... (by the way sio kwamba kila anachosema sababu kimetoka kwenye mdomo wake ndio kilikuwa msahafu au ukweli beyond reasonable doubt) kwahio tungemuacha aendelee na asemayo huku tukiwapa watu option ya kumshitaki kama wamechafuliwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom