Somo ni kwamba ukipiga ngwala wazee cheo kinapanda , ni kama kafara vileMkuu sasa hapo kizazi kipya kinajifunza somo lipi?
We utwakuwa polepole au uko affiliated nae si bure.... hayo mengine uliyo andika ni maoni yako binafsi na kwa mujibu wa katibu unaruhusiwa.....Issue sio povu, ukweli uko wazi mnawafahamu waliowahi kutoa matamko ya kumkataa kiongozi fulani kuwa ni shetani lakini alipowanunua wakachange gear angani na kumpeleka kundi la malaika. Kilichoangaliwa ni maslahi. Na uzuri Mwenyekiti alizungumza wazi kuwa ilikuwa ngumu kuacha Asset ile vinginevyo angeonekana mwehu. Na Mimi nakubaliana naye, siasa ni biashara hasa kama unamiliki chama ambacho kimekuwa kikibreak even kwa miaka mingi then supernormal profit inakuja unaipiga teke, angeonekana mwehu. Na baada ya hapo hakuna aliyethubutu kumkosoa Mwenyekiti zaidi ya wale wawili walioondoka. Walisahau mahubiri yao kabisa na kuacha kuyaishi. Nguvu ya fedha imefunika kila kitu.
Cha msingi tujue 98% ya wanasiasa na wanaharakati wanapigania matumbo yao na faida nyinginezo. Fursa inapotokea hawaiachii. Mwacheni Pole pole atumikie umma.
Wana jamvi,
Tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za Wakuu wa Wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya Jaji Warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha! Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh. rais Magufuli, je tuendelee kumwamini Polepole?View attachment 365900
Sasa sijui anaitambua katiba ya warioba au ya sitta? Unafiki ni dhambi mbaya sana mbele ya mwenyezi mungu.
Naona imekuchoma!
Tatizo alikua anasaka tongeWana jamvi,
Tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za Wakuu wa Wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya Jaji Warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha! Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh. rais Magufuli, je tuendelee kumwamini Polepole?View attachment 365900
Utamaliza kila aina ya misemo
Na bado li ccm lenu ndio linapasuka vipande vipande,mmeashaanza kushikana uchawi
Mbele kwa mbele vipande vipande, naibu katibu mkuu mnaye mtuhumu yeye ndiye mwenye chama na wanachama wengi wenye nguvu,poleni sana
Ccm sasa kwishneyyyyyyyyView attachment 365950
nionyeshe ni kiongozi gani ndani ya CHADEMA na UKAWA yote kwa ujumla ambaye hakuwahi kula matapishi yake?Njaa haina baunsa mjomba , huyu muda si mrefu utasikia akiamrisha polisi wamkamate Kubenea !
Njaa haina baunsa mjomba , huyu muda si mrefu utasikia akiamrisha polisi wamkamate Kubenea !
hapa hukula matapishi yako?Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Mnafiki tu huyo. Ana njaa balaa, mchumia tumbo huyo.Wana jamvi,
Tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za Wakuu wa Wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya Jaji Warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha! Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh. rais Magufuli, je tuendelee kumwamini Polepole?View attachment 365900