Pumba tupuMna wivu kweli? Nasubiri unipe taarifa kama mbaazi zimeanza kukauka. Mwaka huu nataka kuexport za kutosha
Ni kiongozi gani wa upande wa pili anayeyaishi maneno yake. Si mda mrefu karibia wote waliyapuuza maneno yao kisa njaa.Ha haaa haaaaa.. . Mkuu huyu jamaa ni noma.... Cameron pamoja ya kuwa muda wake wa kuwa waziri mkuu wa UK haujaisha, lakini kajiudhuru kutunza kile anacho kiamini.... Polepole hawezi kuishi yale anayo yahubiri na kuyaamini......
Yaani hapa nimeshikwa na hasira hadi nimeshindwa la kusema kwani huenda nyumba yangu ikapewa ulinzi wa bure.Wana jamvi tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za wakuu wa wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya jaji warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha! Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh rais magufuri, je tuendelee kumwamini polepole?View attachment 365900
Jamaa alikuwa anataka wamuone tu sasa keshaonekanaHa haaa haaaaa.. . Mkuu huyu jamaa ni noma.... Cameron pamoja ya kuwa muda wake wa kuwa waziri mkuu wa UK haujaisha, lakini kajiudhuru kutunza kile anacho kiamini.... Polepole hawezi kuishi yale anayo yahubiri na kuyaamini......
Siasa hazina maana, Yericko, Mnyika na Lema jinsi walivyomtukana Lowassa usingeamini kuwa leo wapo pamoja.
Ndugu!! Mkono usioweza kuukata ulambe.Wana jamvi,
Tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za Wakuu wa Wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya Jaji Warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha! Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh. rais Magufuli, je tuendelee kumwamini Polepole?View attachment 365900
kusanya buku saba saba mkuu ukachukue pembejeoSafi sana. Nitakuja kununua maharagwe. Kwani ni lini umetoka Tandahimba?
Zisiwe na maana kivipi? kwani siasa ni nini?Siasa hazina maana, Yericko, Mnyika na Lema jinsi walivyomtukana Lowassa usingeamini kuwa leo wapo pamoja.
Mkuu upo Kakonko? Tutaftane basiKwa sasa ninalima maharage na mahindi hapa kakonko unakaribishwa sana
Njaa haina baunsa mjomba , huyu muda si mrefu utasikia akiamrisha polisi wamkamate Kubenea !Wana jamvi,
Tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za Wakuu wa Wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya Jaji Warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha! Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh. rais Magufuli, je tuendelee kumwamini Polepole?View attachment 365900