Mbona kama naona dole la kati limenyooshwa sana?Wana jamvi,
Tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za Wakuu wa Wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya Jaji Warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha!
Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh. rais Magufuli, je tuendelee kumwamini Polepole?
tehe...tehe..tehe.kumbe we ulikua unaamini maneno yake.Wana jamvi,
Tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za Wakuu wa Wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya Jaji Warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha!
Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh. rais Magufuli, je tuendelee kumwamini Polepole?
Ccm sasa kwishneyyyyyyyy
Na Gwajima anaibuka shujaa kwa aliyo yasema na sasa yanaonekana
Ccm kwishneyyyyyyyy
Nimekusoma sana mkuu..ccm haiwezi kufa huku iko madarakani.
..wanaotaka kuasi wakifikiria rungu la dola liyakavyowashukia wanakuwa wapole mara moja.
..hakuna mwana ccm anayeko tayari kunyanyaswa na kusumbuliwa kama inavyotokea kwa kina Tundu Lissu na wengine walioko ukawa.