Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Polepole Ni mtu smart Sana.. lakini Magufuli alimgeuza na kuwa mtu mpuuzi na takataka.
Sasa anajaribu kutuomba msamaha sisi tuliomuona mtu wa maana kipindi Cha nyuma..anatuomba msamahakwa kiujanja ujanja..
Binafsi neendelea kumsikiliza lakini siwezi kumsamehe.
Sasa anajaribu kutuomba msamaha sisi tuliomuona mtu wa maana kipindi Cha nyuma..anatuomba msamahakwa kiujanja ujanja..
Binafsi neendelea kumsikiliza lakini siwezi kumsamehe.