Polepole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,373
12,822
Friends and Our Enemies,

Hakuna mwalimu bora wa kipind chote kama muda,muda tokea zama na zama umekuwa ni mwalim shupavu Sana ambae anaweza kutoa elimu ambayo ikaeleweka kwa kila mwenye akili timamu bila ya kutumia NGUVU kubwa sana,

Bahati kubwa sana kwa kizaz hiki mwalim.mwingine ambae ameongezeka ni Teknolojia.

Pole pole,yapata miez sita hiv sasa baada ya msiba mkubwa kabisa kulikumba Taifa letu,msiba ambao ni vigum kuupokea lkn kwa kuwa safar hii ni yetu sote hatuna budi kuupokea na kuendelea na maisha,tupo kwenye foleni hakuna atakaebakia kwenye safar hii,

Pole pole,amekataa kabisa kukubaliana na hali hii kias Cha kupelekea kuongea vitu vinavyomfanya aonekane kama ni mtu ambae amerukwa na akili.

Amesahau kabisa miez sita iliyopita yeye na baadh wenzake ndiyo walikuwa watu special ambao wametengeneza kikundi Chao ambacho ni UNTOUCHABLE...NDAN NA NJE YA CHAMA.

Ukithubutu kukosoa au kuhoji maamuz yoyote ndan ya kikundi hiko basi utakiona Cha mtema Kuni,ni kikundi ambacho kilijivisha ngozi ya kondoo huku kikihubiri uzalendo na utiifu kwa kiongoz mkuu kwa asilimia mia moja,leo kiongoz wa kikundi hiko ambacho pole pole na wenzake walikuwa walinz wa legacy ile hayupo.

Kukosekana kwa kiongoz huyo pole pole na wenzake kama Cyprian musiba,makonda,Sabaya n.k hawaamin kuwa it's all over na wanashindwa ku move on na maisha ya kawaida.

Wanachoshindwa kuelewa ni kwamba muda na Teknolojia vinawaumbua na kuwafanya waonekane vituko ndan ya ccm na nje ya ccm,kama hawakuweza ongea chochote kipind Taifa lipo kwenye majaribu makubwa hawawez eleweka wakijitokeza saiz na kuongelea mwenendo wa serikali ambayo wao wenyewe wameshiriki kuiunda na kuitetea.

Kinachomsumbua pole pole kwa sasa siyo uzalendo Wala uchungu wa nchi yake,kinachomnyima usingizi ni ile Hali ya kutoamin kuwa yeye si chochote Wala lolote katika serikali hii na kwamba hayupo Tena kwenye hiyo PARRALLEL STATE ambayo walishaitengeneza kuitafuna nchi hii.

Pole pole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu kwani siku zote sponsor nae hufariki.
 
Polepole ajifunze kukaa kimya kama boss wake wa zamani bwana Bashiru. Hawa watu wametesa mno jamii yetu. Nahisi wanaona wenyewe tofauti ya uongozi wao na huu uliopo watu Wana Uhuru wa kuongea na kujadili Mambo sio kipindi Chao walijiweka miungu watu na hawakutaka mtu yeyote aongee Wala apewe madaraka au wabadilishane nae madaraka.

Hawa washenzi walihakikisha wanaandaa kampeni ya kuhakikisha wanabadili Katiba ili Mungu wao aendelee kuongoza ili nao waendelee kuwepo madarakani.

Polepole amedhihirisha ushetani wake jamaa ni kama Hitler maana alipoingia alionekana kama mtu mwenye maono sahihi Ila akaja kugeuka muuaji mkubwa sana kwa jina la uzalendo.

Mwenyezi Mungu aendelee kumuadhibu kwa kuhakikisha anamjalia maisha marefu ili ashuhudie downfall yake na ashuhudie mwenyewe na aje kuomba msamaha kwamba aliwakosea watanzania.
 
Polepole ni mjinga sana tangu zamani na kwa bahati nzuri wajinga huwa wana wafuasi kwa hiyo sioni ajabu kuona kuna watu wanaomuunga mkono kwa anachokifanya. Kwa sasa hana namna nyingine hali halisi imemfanya awe no body sasa lazima alazimishe aidha kuwa somebody au kulikoroga kabisaaa na samia anavyoendelea kumkalia kimya ndivyo anavyofikiri kuwa bado yupo mawinguni kumbe hakuna kitu kabisaaaaaaa
 
Nikimsikiliza Polepole wala sion kama kuna mtu kamshambulia ye anaendana na somo lake, Historia ya kweli yq nchu mbalimbali nass tuwe macho kuepukana na vitu hivo! Chaajabu watu mnaibuka kumpinga as if kuna mtu anamtaja kwenye somo lake.
Hawa wanaoibuka kila uchao ni WANAFIKI na ni miongoni mwa wale wanaoendelea kumtaja marehemu kwa nguvu wakati walio HAI hawatajwi hivyo.
 
Friends and Our Enemies,

Hakuna mwalimu bora wa kipind chote kama muda,muda tokea zama na zama umekuwa ni mwalim shupavu Sana ambae anaweza kutoa elimu ambayo ikaeleweka kwa kila mwenye akili timamu bila ya kutumia NGUVU kubwa sana,

Bahati kubwa sana kwa kizaz hiki mwalim.mwingine ambae ameongezeka ni Teknolojia,

Pole pole,yapata miez sita hiv sasa baada ya msiba mkubwa kabisa kulikumba Taifa letu,msiba ambao ni vigum kuupokea lkn kwa kuwa safar hii ni yetu sote hatuna budi kuupokea na kuendelea na maisha,tupo kwenye foleni hakuna atakaebakia kwenye safar hii,

Pole pole,amekataa kabisa kukubaliana na hali hii kias Cha kupelekea kuongea vitu vinavyomfanya aonekane kama ni mtu ambae amerukwa na akili,

Amesahau kabisa miez sita iliyopita yeye na baadh wenzake ndiyo walikuwa watu special ambao wametengeneza kikundi Chao ambacho ni UNTOUCHABLE...NDAN NA NJE YA CHAMA...

Ukithubutu kukosoa au kuhoji maamuz yoyote ndan ya kikundi hiko basi utakiona Cha mtema Kuni,ni kikundi ambacho kilijivisha ngozi ya kondoo huku kikihubiri uzalendo na utiifu kwa kiongoz mkuu kwa asilimia mia moja,leo kiongoz wa kikundi hiko ambacho pole pole na wenzake walikuwa walinz wa legacy ile hayupo,

Kukosekana kwa kiongoz huyo pole pole na wenzake kama Cyprian musiba,makonda,Sabaya n.k hawaamin kuwa it's all over na wanashindwa ku move on na maisha ya kawaida,

Wanachoshindwa kuelewa ni kwamba muda na Teknolojia vinawaumbua na kuwafanya waonekane vituko ndan ya ccm na nje ya ccm,kama hawakuweza ongea chochote kipind Taifa lipo kwenye majaribu makubwa hawawez eleweka wakijitokeza saiz na kuongelea mwenendo wa serikali ambayo wao wenyewe wameshiriki kuiunda na kuitetea,

Kinachomsumbua pole pole kwa sasa siyo uzalendo Wala uchungu wa nchi yake,kinachomnyima usingizi ni ile Hali ya kutoamin kuwa yeye si chochote Wala lolote katika serikali hii na kwamba hayupo Tena kwenye hiyo PARRALLEL STATE ambayo walishaitengeneza kuitafuna nchi hii...

Pole pole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu kwani siku zote sponsor nae hufariki...
Parallel state na Polepole alikuwemo. Kinachomliza ni kukosa maslahi tu Hana lolote
 
Polepole ajifunze kukaa kimya kama boss wake wa zamani bwana Bashiru. Hawa watu wametesa mno jamii yetu. Nahisi wanaona wenyewe tofauti ya uongozi wao na huu uliopo watu Wana Uhuru wa kuongea na kujadili Mambo sio kipindi Chao walijiweka miungu watu na hawakutaka mtu yeyote aongee Wala apewe madaraka au wabadilishane nae madaraka.

Hawa washenzi walihakikisha wanaandaa kampeni ya kuhakikisha wanabadili Katiba ili Mungu wao aendelee kuongoza ili nao waendelee kuwepo madarakani.

Polepole amedhihirisha ushetani wake jamaa ni kama Hitler maana alipoingia alionekana kama mtu mwenye maono sahihi Ila akaja kugeuka muuaji mkubwa sana kwa jina la uzalendo.

Mwenyezi Mungu aendelee kumuadhibu kwa kuhakikisha anamjalia maisha marefu ili ashuhudie downfall yake na ashuhudie mwenyewe na aje kuomba msamaha kwamba aliwakosea watanzania.
Wao akina Polepole na Bashiru na bashite ndio walikuwa parallel state. Sasa wamekuwa wanasesere wamepaniki
 
Polepole kasababisha January Makamba kuingia kwenye baraza la Mawaziri kama ilivyokuwa kina January Makamba wakati ule wakasababisha Hussein Bashe kuingizwa kwny baraza la Mawaziri na Rostam Aziz kukaribishwa Ikulu
 
Back
Top Bottom