Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,317
- 139,035
Yeah you will be wrong. A member is the reliable informerWill I be wrong if I call this Rubish
Yeah you will be wrong. A member is the reliable informerWill I be wrong if I call this Rubish
Unataka kumjua?Huyu bwana ana wadhifa gani hapo jumba jeupe?
Mtoa mada ni mole wa mfumoWewe kataa kwenda Ubalozi.
Danganya unataka kuendesha biashara zako binafsi (utaeleza ni biashara gani).
Danganya pia kuwa unauguliwa na kaka yako.
Ukiweza, wambie siafu (chawa) wako kuwa umeamua kujiuzulu.
View attachment 3523795
Tangu umefika ofisi kuu, umesababisha ujinga mwingi sana nchini. Umeumiza wengi. Kibri kilitamalaki!
Uliwadanganya wengi kuwa wewe ndo unaendesha mfumo - kiko wapi?
Na wote uliokuwa ukiwahonga tutawaanika. Na pesa ulizoficha Dubai zitafikiwa!
Kila mmoja atachanganyikiwa kwa wakati wake
View attachment 3523797
Mole is the spy Intel who leaks or disclose info to unwanted partUsinambie 😂
Huyu bwana ana wadhifa gani hapo jumba jeupe?
List ni fupi inamaana hicho cheo ni mara chache sana Rais kubadilisha au ni nani hasa anaeteua, naona ni wanaume tu...Katibu Myeka wa Rais.
..Private Secretary to the President.
..nchi nyingine humuita Chief of Staff, President's Office.
..Ni mtu muhimu sana ktk ofisi ya Rais.
..ndiye anayewasimamia wasaidizi wa Rais, kupanga ratiba zote za Rais.
..watangulizi katika nafasi hiyo ni wafuatao.
1. Major Joseph Butiku wakati wa Nyerere
2. Andrew Daraja -- Mzee Mwinyi
3. Patrick Mombo -- Mzee Mkapa
4. David Jairo / Mbena -- Mzee Kikwete.
5. Eng. Samike -- Mzee Magufuli.
Mbena malumbi sijui kwanini aliuwawa hivi vyeo hivi kujua mengi pia ni hatari kwako...Katibu Myeka wa Raisi.
..Private Secretary to the President.
..nchi nyingine humuita Chief of Staff Presidents Office.
..Ni mtu muhimu sana ktk ofisi ya Raisi.
..ndiye anayewasimamia wasaidizi wa Raisi, kupanga ratiba zote za Raisi.
..watangulizi katika nafasi hiyo ni wafuatao.
1.Major.Joseph Butiku wakati wa Nyerere
2.Andrew Daraja -- Mzee Mwinyi
3.Patrick Mombo -- Mzee Mkapa
4.David Jairo / Mbena -- Mzee Kikwete.
5.Eng.Samike -- Mzee Magufuli.
Mombo kumbe Alifanya kazi na mtu smart kama mkapa Sasa kwanini kamuharibia kizimkazi?..Katibu Myeka wa Rais.
..Private Secretary to the President.
..nchi nyingine humuita Chief of Staff, President's Office.
..Ni mtu muhimu sana ktk ofisi ya Rais.
..ndiye anayewasimamia wasaidizi wa Rais, kupanga ratiba zote za Rais.
..watangulizi katika nafasi hiyo ni wafuatao.
1. Major Joseph Butiku wakati wa Nyerere
2. Andrew Daraja -- Mzee Mwinyi
3. Patrick Mombo -- Mzee Mkapa
4. David Jairo / Mbena -- Mzee Kikwete.
5. Eng. Samike -- Mzee Magufuli.
Wewe kataa kwenda Ubalozi.
Danganya unataka kuendesha biashara zako binafsi (utaeleza ni biashara gani).
Danganya pia kuwa unauguliwa na kaka yako.
Ukiweza, wambie siafu (chawa) wako kuwa umeamua kujiuzulu.
View attachment 3523795
Tangu umefika ofisi kuu, umesababisha ujinga mwingi sana nchini. Umeumiza wengi. Kibri kilitamalaki!
Uliwadanganya wengi kuwa wewe ndo unaendesha mfumo - kiko wapi?
Na wote uliokuwa ukiwahonga tutawaanika. Na pesa ulizoficha Dubai zitafikiwa!
Kila mmoja atachanganyikiwa kwa wakati wake
View attachment 3523797
Sio majina umemix? Huyu ni patrick, wa sasa sio patrick....sule ulitaka maanisha??Mombo kumbe Alifanya kazi na mtu smart kama mkapa Sasa kwanini kamuharibia kizimkazi?
Mkuu nadhani ni tofauti. Huyu wa Samia ni kobaz mwenzake Suleiman Abubakar Mombo. Huyo wa mkapa mgalatia Patrick Mombo. Mombo majina ya kipare.Mombo kumbe Alifanya kazi na mtu smart kama mkapa Sasa kwanini kamuharibia kizimkazi?
Ook sawaMkuu nadhani ni tofauti. Huyu wa Samia ni kobaz mwenzake Suleiman Abubakar Mombo. Huyo wa mkapa mgalatia Patrick Mombo. Mombo majina ya kipare.
Haus boi wa bibi wa kizungu umetoa bonge la pointi, KudosMkuu nadhani ni tofauti. Huyu wa Samia ni kobaz mwenzake Suleiman Abubakar Mombo. Huyo wa mkapa mgalatia Patrick Mombo. Mombo majina ya kipare.
Mkapa alikua mtu smart?? Huwa mnatumiaga vigezo gani?Mombo kumbe Alifanya kazi na mtu smart kama mkapa Sasa kwanini kamuharibia kizimkazi?