Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,179
- 2,004
Daima hakuna mtawala yeyote duniani hupendezwa kuambiwa maneno yasiyompendeza na kumfurahisha.
Watawala wana tabia zinazofanana nayo ni kupenda kuogopwa na kuambiwa yanayowapendeza tu, na huamini zaidi yale wanayoambiwa na wapambe wao hata kama si sahihi, kwa vile tu wapambe wao huwatia moyo kuwa "mambo yako sawa tu".
Najua una huzuni, hasira na fikra mpya kila wakati, "wewe ni mchochezi", ndio nami nakubali kuwa wewe ni mchochezi, unachochea ktk kuleta fikra mpya za umuhimu wa kuwa na KIONGOZI na sio MTAWALA.
Pole sana ndugu! kazi ya siasa na ukombozi inahitaji gharama ya moyo na nafsi za watu. hongera kwa kujichagua.
Watawala wana tabia zinazofanana nayo ni kupenda kuogopwa na kuambiwa yanayowapendeza tu, na huamini zaidi yale wanayoambiwa na wapambe wao hata kama si sahihi, kwa vile tu wapambe wao huwatia moyo kuwa "mambo yako sawa tu".
Najua una huzuni, hasira na fikra mpya kila wakati, "wewe ni mchochezi", ndio nami nakubali kuwa wewe ni mchochezi, unachochea ktk kuleta fikra mpya za umuhimu wa kuwa na KIONGOZI na sio MTAWALA.
Pole sana ndugu! kazi ya siasa na ukombozi inahitaji gharama ya moyo na nafsi za watu. hongera kwa kujichagua.