Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,179
- 2,004
- Thread starter
- #21
aliota akiwa usingizini? kumbe ni kosa kisheria kuota ndoto? una kifungu hcho cha sheria tafadhali, kwa faida ya wote?ndoto ya kuotea na kulazimisha wenzake watakufa, kama si ushetani ni nini huo? Yeye hafi? Au amejisahau kuwa yeye ni binaadam? Mwache acheze na wanaume wenzake jela huko kwa muda.