leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,439
- 1,850
Anakula maembe
Swalehe hajambo, usimruhusu swalehe afanye kazi kama unayofanya,Nakuja pm boss unipe ubuyu
Pengine wanahisi akina Le mutuz na cyprian Musiba baada ya kunyimwa ulaji haramu waliokuwa wakifaidi watachomoaKipindi hicho Magu atakua wapi?
Swalehe hajambo, usimruhusu swalehe afanye kazi kama unayofanya,
Njia ndefu yote ya nini? Upoteze rasilimali nyingi tu. Ili kumhadaa nani kwa faida ya nini?, Nec, tiss, Polisi, jwtz vyote ni Mali yakoHakuna kitu kama hicho,yaliyotokea 2015 ndio yanaenda kutokea 2020,Membe atatengenezwa aonekane jabari sijui spy master na hata wanaomsubiri aombe msamaha kama wenzake hataomba ili 'watalaam' waendelee kumtengenezea njia vzr huku wananchi tukiendelea kuamini masiah amefika kutukomboa kama vile ambavyo tuliaminishwa Lowassa ana support mpk huko Marekani/Europe.
2020 anakabidhiwa ticket ya kugombea urais kupitia chama cha upinzani,kwny uchaguzi mkuu atashindwa kama kawa then 2021 anarudi kwao CCM kama Lowassa vile alivyofanya.
Upitie shortcut then misaada ya wazungu/grants/vikwazo vya kimataifa/hela za IMF/WB uzisikilie kwny bomba?Njia ndefu yote ya nini? Upoteze rasilimali nyingi tu. Ili kumhadaa nani kwa faida ya nini?, Nec, tiss, Polisi, jwtz vyote ni Mali yako
Mimi nilijua lazima apigwe chini ndo maana nilikuwa namshauri sana a resign ,kosa lake kubwa ni mapenzi yake kwa Membe na si jingine, alikuwa anadukuliwa kila anavyofanya mawasiliano kwa Siri na Membe bila yeye kujua, na wadukuzi walikuwa nyumbani kwake, Tanzania ni yetu sote.
Niguse1."The best friend of yours is death, the rest are hypocrites, be they siblings or whatever ".
2."The future of your country is loomed up into darkness ".
Wanaobeza, wabeze, Message sent and delivered. [emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji115][emoji115][emoji115][emoji848][emoji144]
Maembe ni mtu mdogo sana kwa MakufuliAtafukuza Wote huyu Ndugu,maana inaonekana Mizizi ya membe katika Nchi hii kwenye System Imesambaa zaidi ya Kawaida.
Critics sio critisizingCritisizing zako siyo analyitical, is like unabeza bila kujua unabeza nini? Kama unabisha hiyo siyo sababu, tueleze sababu genuine wewe! Otherwise NYUMBU ni wewe!!
Yaani huyu boss wetu ana ushamba wa first degreeWanasema eti afadhali siku hizi hafanyi zile za jukwaani za "nitumbue nisitumbueeeeeee???"
Halafu wananchi wanamjibu "Tumbuaaaaaaaaa".
Anazuga kwa kalamu kuandika "atapangiwa kazi nyingine".
Kwani ni mumeo mpaka ujue kama yupo humu?Eti Kipilimba yuko under house arrest mbona yumo humu jamii forums anapost Kama kawaida usilolijua ni kama usiku wa giza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kumbe kuna nyumbu wanaofikiri pia?Kwenda zako wewe. Unataka kuaminisha watu eti ujinga ulioandika ndiyo umefanya akatolewa. Lakini kwa nchi yenye ''nyumbu'' wasiofikiri mara mbaili kama yetu utapata waunga mkono.
Kabisa.kumbe kuna nyumbu wanaofikiri pia?
Dh mkuu unanionea bure bhanaUnajidai huijui 😁😁... wakati kwenye kitambulisho chako hiyo nembo kila siku waiona 😁😁😁...
Nyie watu hatari sanaaa
Mgogoro wa tz na Malawi ndio mkubwa zaidi maana umekaa kiuchumi zaidi pia huu mgogoro utagusa maslahi ya mabeberuMkuu umenifikirisha kidogo ulipoi point malawi.Why them na sio Rwanda ambao ndio hasa tumekua nao kwenye mahusiano ya sintofaham kwa muda mrefu?!
Thanks chief.Mm nikajua haya masuala yalishakua resolved aisee.Mgogoro wa tz na Malawi ndio mkubwa zaidi maana umekaa kiuchumi zaidi pia huu mgogoro utagusa maslahi ya mabeberu
Mgogoro wa tz na rwanda sio mkubwa kivile na ata hivi rwanda tumeshamnyoosha mara nyingi tu kibaya zaidi kale kanchi hakana misingi so ni propaganda tu kidogo then wanaanza kupigana mapanga muda huohuo anafungiwa mipaka
Mkuu acha kusumbuka na huyo maana hajui kuwa hajui. Jamaa kasema au kajisifia kuwa aliyotabiri na kuyaandika humu yametokea vile vile lakini huyu mjamaa yeye kaelewa kuwa alivyoandika bandiko ndo lililosababisha mmbea mkuu kutumbuliwa. Hajaona tofauti ya kujua kinahokuja na kukifanya kijeCritisizing zako siyo analyitical, is like unabeza bila kujua unabeza nini? Kama unabisha hiyo siyo sababu, tueleze sababu genuine wewe! Otherwise NYUMBU ni wewe!!
My son drink water anachukua points tatu za ugenini.Kwenda zako wewe. Unataka kuaminisha watu eti ujinga ulioandika ndiyo umefanya akatolewa. Lakini kwa nchi yenye ''nyumbu'' wasiofikiri mara mbaili kama yetu utapata waunga mkono.