Pole sana Kipilimba, ilinipasa kunyamaza

Pole sana Kipilimba, ilinipasa kunyamaza

Mimi nilijua lazima apigwe chini ndo maana nilikuwa namshauri sana a resign ,kosa lake kubwa ni mapenzi yake kwa Membe na si jingine, alikuwa anadukuliwa kila anavyofanya mawasiliano kwa Siri na Membe bila yeye kujua, na wadukuzi walikuwa nyumbani kwake, Tanzania ni yetu sote.
Kuwa na mapenzi na membe kunahatarisha vipi usalama wa nchi, au kazi ya TISS ni pamoja na kulinda maslahi ya rais dhidi ya wapinzani wake kisiasa na kiitikadi, tunaomba majibu tafadhali..
 
Hao TISS wanatumia Tekinolojia za KUDUKUA ZA Israel, maana yake Israel ina back door ya mambo yote wanayofanya!. Ngoja siku tuguse maslahi ya ISRAEL huku Africa au Tukatae kuvote on their favor huko UN kisha waone kama hawajawablack mail kurelease issue za Kibiti, Ben Saa nane, Au waipe nchi adui yetu kama Malawi taarifa zetu nyeti za ulinzi!
Mkuu heshima kwako una akili sana! kwa sasa wanajiona wajanja lakini hawajui kama wameiingiza nchi kwenye mdomo wa mamba. hawajui kama nawao wanarecodiwa siku ya kwao yatakapo wekwa hadharani wasije kutulazimisha tuwaombee.
 
Mbona haya mambo ya kudukuana awamu ya nne hatukuwahi kusikia?
 
Back
Top Bottom