Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,910
- 21,949
Inasadikika anapenda sana Maembe.
Dodo au safarani? Au ya kunyonya?
Inasadikika anapenda sana Maembe.
Umeniponza mkuu [emoji1]
Sema haina noma chief
Nauliza tu, zile risasi 16 alizopigwa Lissu zingempeleka kaburini napo angetumbuliwa?.
Mimi nilijua lazima apigwe chini ndo maana nilikuwa namshauri sana a resign ,kosa lake kubwa ni mapenzi yake kwa Membe na si jingine, alikuwa anadukuliwa kila anavyofanya mawasiliano kwa Siri na Membe bila yeye kujua, na wadukuzi walikuwa nyumbani kwake, Tanzania ni yetu sote.
Kwenda zako wewe. Unataka kuaminisha watu eti ujinga ulioandika ndiyo umefanya akatolewa. Lakini kwa nchi yenye ''nyumbu'' wasiofikiri mara mbaili kama yetu utapata waunga mkono.
There is no way ukamdukua spychief kizembe maana kila kitu anajua,na hata tech zinaponunuliwa anakua anajua maana yeye ana security clearence,
ila sasa ukiwa kwako unaweza kuletdown your guard,kumbe hapo ndo wanapokuotea,
hawa mahousegal ni wa kuangalia sana,mtu akitaka kukunasa akapitia kwa housegali umekwisha
hivi mwanangu kunywa mai
we ni mwalimu wa saysnsi kimu
Mani naijua tangu na miaka mitatuUlikuwa huijui? Ujanja wote huo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado unamwita mbobezi akashindwa kujua kuwa wapo wanaomuagalia (Couter Intelligence).Mimi nilijua lazima apigwe chini ndo maana nilikuwa namshauri sana a resign ,kosa lake kubwa ni mapenzi yake kwa Membe na si jingine, alikuwa anadukuliwa kila anavyofanya mawasiliano kwa Siri na Membe bila yeye kujua, na wadukuzi walikuwa nyumbani kwake, Tanzania ni yetu sote.
Ahahahahaha... Dah! Kiukweli asingeweza kuongoza milele!Mimi nilijua lazima apigwe chini ndo maana nilikuwa namshauri sana a resign ,kosa lake kubwa ni mapenzi yake kwa Membe na si jingine, alikuwa anadukuliwa kila anavyofanya mawasiliano kwa Siri na Membe bila yeye kujua, na wadukuzi walikuwa nyumbani kwake, Tanzania ni yetu sote.
My Son drink maji unaeza kutuwekea hizo makala za taa nyekundu ulizowahi kuzileta humu
Juzi IGP wao mstaafu aliwashutumu kina mbheki kuwa usuluhishi umewashinda, still wakasema kuwa ziwa lote ni lao...Kuna gesi ambayo ipo mpakani lkn kwa upande wa Tz so Malawi wanataka ziwa lote ili wapate gesi pia kuna tetesi kuwa Malawi alikuwa kawahaidi British kuwapa vitalu kwa bei chee so kivyovyote vile lzm mabeberu wampe support malawi
Wewe babako ni agent, sasa we utanusurika vipi?Mani naijua tangu na miaka mitatu
Wengine tumekua huko
Ingawa si wa huko
Dodo au safarani? Au ya kunyonya?
Mani naijua tangu na miaka mitatu
Wengine tumekua huko
Ingawa si wa huko
Nyumbu mwingine huyu hapa. Posts zako na zake hazitofautiani sana. Nione chuki kwa maandishi yenye ujinga kama unayoandika wewe au yeye?Acha Wivu na Chuki ' Mpuuzi ' Wewe. Sasa kama kumbe Wewe ulikuwa unajua kila Kitu kwanini hukuwahi Kutuhabarisha hapa? Miswahili bhana!
Nlinusurika sababu mama na yeye alkua agent na hakutaka tuingie hukoWewe babako ni agent, sasa we utanusurika vipi?