My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Ktk makala zangu tatu nilizokuandikia kupitia jukwaa hili, nilijikita zaidi ktk kukushauri u resign kwa hiari yako.
Sisi waandishi wa mitandaoni huwa tunachukuliwa Kama waropokaji tu na watu tunaoandika Taarifa za kuhisia zisizo na ukweli wowote,hii mara nyingi kwa nchi zinazoendelea, lakini kwa nchi zilizoendelea kila andiko hupewa tahadhari kubwa.
Mzee wangu, ukiwa Kama mbobezi wa intelligence ulishindwa kabisa kunusa kabisa harufu ya kupigwa chini?
Na Kama ni kweli utakuwa upo under house arrest, basi naipa heko zote Mossad kupitia huyu kikongwe Yoni Moshe, jasusi mstaafu aliyebobea na aliyeitumikia Mossad zaidi ya miaka 40 akiwa kashiriki ktk operesheni mbalimbali Duniani za Siri kwa manufaa ya taifa lake,na wakiwa wamedukua mamia ya ikulu Duniani ikiwemo Whitehouse.
Aliwahi kuniambia maneno mazito sana siku moja, nami namnukuu.
1."The best friend of yours is death, the rest are hypocrites, be they siblings or whatever ".
2."The future of your country is loomed up into darkness ".
Wanaobeza, wabeze, Message sent and delivered.
Sisi waandishi wa mitandaoni huwa tunachukuliwa Kama waropokaji tu na watu tunaoandika Taarifa za kuhisia zisizo na ukweli wowote,hii mara nyingi kwa nchi zinazoendelea, lakini kwa nchi zilizoendelea kila andiko hupewa tahadhari kubwa.
Mzee wangu, ukiwa Kama mbobezi wa intelligence ulishindwa kabisa kunusa kabisa harufu ya kupigwa chini?
Na Kama ni kweli utakuwa upo under house arrest, basi naipa heko zote Mossad kupitia huyu kikongwe Yoni Moshe, jasusi mstaafu aliyebobea na aliyeitumikia Mossad zaidi ya miaka 40 akiwa kashiriki ktk operesheni mbalimbali Duniani za Siri kwa manufaa ya taifa lake,na wakiwa wamedukua mamia ya ikulu Duniani ikiwemo Whitehouse.
Aliwahi kuniambia maneno mazito sana siku moja, nami namnukuu.
1."The best friend of yours is death, the rest are hypocrites, be they siblings or whatever ".
2."The future of your country is loomed up into darkness ".
Wanaobeza, wabeze, Message sent and delivered.