Pole sana Kipilimba, ilinipasa kunyamaza

Pole sana Kipilimba, ilinipasa kunyamaza

Fungua account twitter na email fake na detail fake, then kadodondoshe mzigo... tupe tu jina la account ya twitter tuka ku follow.... au kama vipi post hapa hapa... c.c Baba Swalehe PSU Bos

Ethical Ninja CEH umetisha mkuu,nikajua unatishaga kule bar yetu ya JLW tu,wehu sana hawa makada wa tisi,wanajiona akili mingi kumbe zero!!
 
Hakuna kitu kama hicho,yaliyotokea 2015 ndio yanaenda kutokea 2020,Membe atatengenezwa aonekane jabari sijui spy master na hata wanaomsubiri aombe msamaha kama wenzake hataomba ili 'watalaam' waendelee kumtengenezea njia vzr huku wananchi tukiendelea kuamini masiah amefika kutukomboa kama vile ambavyo tuliaminishwa Lowassa ana support mpk huko Marekani/Europe.

2020 anakabidhiwa ticket ya kugombea urais kupitia chama cha upinzani,kwny uchaguzi mkuu atashindwa kama kawa then 2021 anarudi kwao CCM kama Lowassa vile alivyofanya.
Membe ndiye mgombea wa CCM 2020
 
I hope so mkuu,lile kosa la kiufundi lisi jirudie tena maana hali ni tete mkuu.
Trust me cdm kwa hil la lowasa wamekoma hawatakaa warudie tena ule mchezo wao wa tamaa mbele.Hawatawah aisee maana kwasasa wamerud nyuma kuanzia Zero.hal ni mbaya sana
 
Trust me cdm kwa hil la lowasa wamekoma hawatakaa warudie tena ule mchezo wao wa tamaa mbele.Hawatawah aisee maana kwasasa wamerud nyuma kuanzia Zero.hal ni mbaya sana
cdm ni kama kuku,kama huamini angalia kwa sasa ajenda yao ni nini!wako tayari kwa lolote.
 
Mimi nilijua lazima apigwe chini ndo maana nilikuwa namshauri sana a resign ,kosa lake kubwa ni mapenzi yake kwa Membe na si jingine, alikuwa anadukuliwa kila anavyofanya mawasiliano kwa Siri na Membe bila yeye kujua, na wadukuzi walikuwa nyumbani kwake, Tanzania ni yetu sote.
Mkuu wa kitengo naye anadukuliwa? Hii ni Tanzania tuu nadhani.
 
Inawezekana alidukua, lakini kuna kitu kinaitwa "point of no return", ikishafika hiyo, there's nothing you can do. Unabaki tu kama passenger ukisubiri hatima yako.

Si unamkumbuka bwana mkubwa aliyepigwa bomba "akihisiwa ni jambazi" karibu na mpaka na jirani zetu kaskazini, alidukua lakini it was too late.
 
cdm ni kama kuku,kama huamini angalia kwa sasa ajenda yao ni nini!wako tayari kwa lolote.
Ofcz hatuna ajenda tupo tupo .Yan mpaka nashangaa wakat mwngine hii ndio chadema ninayoijua mm au ni nyingine.Pigo tulilopigwa na ccm kwa kumtumia lowasa ni baab kubwaa.itachukua miaka ming sana kuja kuinuka trna .2020 the situation will be worst.worst
 
Back
Top Bottom