Pole sana dada

Pole sana dada

nikipata mtotot wa kwanza naacha kazi
kama nitashindwa kuleta mama angu amlee
 
Kwanza umenipa msamiati wa 'can do attitude'. Nimeipenda hiyo, ninaomba mimi kama Kasie uanzishe thread na utoe darasa kwenye hiyo can do attitude.
Si kama nasema uwe mfundaji au somo la, hiyo shuleitasaidia wengi hata ambao hawana watoto. Please Ngabu plea

I have a can-do attitude. I can cook, clean, run errands and then some.

Bongo kwa mtazamo wangu watu wengi wala hawahitaji maid.

Babysitters sawa, sikatai. Lakini hadi kupikiwa na kufuliwa nguo?

Unakuta familia nzima ipo nyumbani lakini wanapikiwa na msaidizi.

I shake my head in mystification.

*Na unasema ni ngumu sana kwa maisha ya Kitanzania? Mbona mimi sikulelewa na msaidizi wa kazi za ndani na leo hii nipo nina mji wangu na najitegemea mwenyewe? Wazazi wangu waliwezaji ilhali wote walikuwa ni wafanyakazi?*

I tell you a 'can-do attitude' goes a long way.
 
Katika kulipiza visasi hakuna anayechagua "njia rahisi", wote huchagua njia itakayomuumiza mhusika the most.

Nisawa ila nikila mtu na moyo wake na atakavyo weza kuhimili maumivu au maudhi ya mwengine.. Inshallah kheir ala kuli hal..
 
Bado sijaelewa mantiki ya hii thread ni ipi haswa maana ndani ya thread moja kuna mada zaidi ya moja lakini nitajikita kwenye jambo linalohusu huyo dada wa Uganda pekee...

Dada wa kazi kafanya kosa au hakufanya kosa?

Jibu ni alifanya kosa linalostahili adhabu.

Dada wa kazi alifanya kosa hilo kwa sababu au msukumo upi haswa?

Jibu ni kuwa alikusudia kufanya hivyo na alikuwa akifanya hivyo mara nyingi. Hii inatupa picha ya kutambua kuwa ni binti ambaye hana na hakuwa na dhamira njema.

Inasemekana sababu ya baba mwenye nyumba kupachika kamera ni kwa kuwa alikuwa akimkuta mwanaye na michubuko yenye kuashiria kakutana na kipigo.

Na hata siku ambayo binti huyo alipotoa kipigo tulichokishuhudia bila shaka alikana kuhusika na kipigo alichokitoa kwa mtoto yule. Hivi umejiuliza kwa nini alikimbilia polisi baada ya kupigwa na baba mwenye nyumba? Kwa sababu alikuwa akiamini kuwa ana haki na wala hana staka lolote la kusababisha kupigwa.

Je baba wa mtoto alikuwa sahihi kushusha kichapo kwa huyo binti?


Jibu ni kwamba haikuwa sahihi.
 
Kwanza umenipa msamiati wa 'can do attitude'. Nimeipenda hiyo, ninaomba mimi kama Kasie uanzishe thread na utoe darasa kwenye hiyo can do attitude.
Si kama nasema uwe mfundaji au somo la, hiyo shuleitasaidia wengi hata ambao hawana watoto. Please Ngabu plea

I refuse to have a defeatist attitude in life. Defeatism won't get you anywhere. If your goal is to win, then a can-do attitude is the way to go.

On that note, therefore, I shall accede to your request and sooner rather than later I will start a 'life coaching' thread whereby folks will share and exchange their diverse life experiences and skills.

On a totally unrelated matter:

Kasie unaniumiza roho
Silali, nisipokuona ninaumia moyo
Kwenye mapenzi hakunaga komandoo
Unapokuwa mbali ninakumiss mno
 
Sasa kama unaona unanyanyaswa kwanini uendelee kuwepo hapo unaponyanyaswa?

Na kwenda kumpa adhabu mtoto ambae hajui lolote!
 
Hahahahaa Ngabu bana, ningependa nisikie sauti yako yako itamke hayo maneno. Ujue umenikuna mbavu za moyo ivooo, am happy u accept my request yuupiiii have my hug ...waaow
I refuse to have a defeatist attitude in life. Defeatism won't get you anywhere. If your goal is to win, then a can-do attitude is the way to go.

On that note, therefore, I shall accede to your request and sooner rather than later I will start a 'life coaching' thread whereby folks will share and exchange their diverse life experiences and skills.

On a totally unrelated matter:

Kasie unaniumiza roho
Silali, nisipokuona ninaumia moyo
Kwenye mapenzi hakunaga komandoo
Unapokuwa mbali ninakumiss mno
 
Sina uhakika na uchambuzi wako..uko very general..lakini kwa kesi ya huyu dada wa Uganda hauko sahihi..kwanza kumbuka ameishi na ile familia 26 days only..so mambo ya nguo na lawama nyingine zinaweza zikawa sio kweli
 
Sina uhakika na uchambuzi wako..uko very general..lakini kwa kesi ya huyu dada wa Uganda hauko sahihi..kwanza kumbuka ameishi na ile familia 26 days only..so mambo ya nguo na lawama nyingine zinaweza zikawa sio kweli

Umeshasikia maelezo ya upande wa huyo dada?
 
nikipata mtotot wa kwanza naacha kazi
kama nitashindwa kuleta mama angu amlee

Just exercise due diligence. It won't hurt to conduct background checks and contact some references.

I get that the sophisticated mechanisms for doing that may not be in place but at least you can try.

Myself I'd have possibly choked that girl to death.
 
Anza kuzichanga uhakikishe the baby wont lack anything.

mpenzi leo wakati nipo saluni nilimuonesha mdada wa saluni ile vid akasema watogo wa kazi ni mashetani
mwanangu aliingiziwa kijiti kwenye dudu yake na nilikua nampenda yule dada na nilimfundisha ujuzi wa saluni

siwaamini hawa wadada
 
hawa watu ni washenzi mtoto wa kazi anakua na roho ya kishetani hata umlambe miguu

japo ndio kuna mabos wakatili

ila leo nimemuonesha mdada huyo hiyo vid wakati nasoma huu uzi nikamwambia uwenda labda huyu boss wake alikua mkatili akasema hapana wafanyakazi wengi wana roho chafu
maana wa kwake alimuingizia kijiti mtoto wake kwenye papuchi

nyoooooo kabla sijaua mtu acha nijiepushe nitangata mtu papuchi niunge nile ugali

mwanangu bora unilipizie kwa mume wangu utembee nae maana nitakunyonga nikaozee jela

wewe kama umeshindwa kazi si uondokeeee sitaki toto la mtu kwangu mimi nitalea mwenyewe
 
Back
Top Bottom