Pole sana dada

Pole sana dada

nimepata hasira sana mani******* walahi

maana huyo mdada wa kazi nilishamkutaga hapo saluni na ki ukweli yule bosi wake ni mtu poa sana nimemjua kitambo

na haki ya nani nikamwambia ulifanyaje ulivyojua akasema nilimfukuza tu basi....imagne

ningechana chana papuchi yake nikaushe nikaange nilie ugali
 
Hapana aisee..kila mtu ana uhuru wa mawazo yake na mtazamo ila huu wa kwako umenishangaza sana. Huyo bidada angeondoka au hata kwenda polisi kuripoti kuwa ananyanyaswa siyo kwa kitendo kama kile alichokifanya.
 
bi mkubwa kwema?

hii ni stori inayohusiana na mada hii ama?

nimepata hasira sana mani******* walahi

maana huyo mdada wa kazi nilishamkutaga hapo saluni na ki ukweli yule bosi wake ni mtu poa sana nimemjua kitambo

na haki ya nani nikamwambia ulifanyaje ulivyojua akasema nilimfukuza tu basi....imagne

ningechana chana papuchi yake nikaushe nikaange nilie ugali
 
bi mkubwa kwema?

hii ni stori inayohusiana na mada hii ama?

ndio watu8

watotot wetu wanafanyiwa makubwa sana tukiwa hatujui

sasa huyo dada wa kazi kamuingizia lijiti kwenye papuchi huyo mtoto wa dada wa saluni na ni mdogo
 
mkuu kwa kiasi fulani nimekuwa na mwelekeo kama wewe.Wengi wetu tunaona watoto wa kazi ni kama watu fulani ambao hawastahili. Kuna baadhi ya familia ambazo watoto wa kazi hawajawahi kukaa meza moja na waajiri wao wakala siku zote wanakula jikoni au wanasubiri wamalize kula then wao yeye aanze kula hii inaweza ikawa ndo hatua mojawapo ya kuwaadhiri kisaikolojia hawa watu.Pili watoto wa kazi nao ni binadamu kama sie watoto wengi wanakopwa hela zao na nyingine hawalipwi kwa wakati wakati wewe ukikosa mshahara mwezi unaanzisha migomo.Hivyo ni rai yangu tuwatendee watoto wa kazi kama nasi tunavyotaka watutendee tukipandishwa mishahara au bisahara zinanawiri pia na sie tuwaongezee mishahara.Kama unaweza anza kukaa na wadada wa kazi meza moja mnakula pamoja na ikiwezekana na yeye aanze kuchukua chakula uone mafanikio au mabadiliko katika kuwatunza watoto wetu

hilo la mishahara na haki za kibinadamu nakubaliana nayo lakini treatments zingine naona tunakuza tu mambo. Hebu jaribu nyumbani kwako kuanzia leo housegirl awe anakuwa wa kwanza kupakua, ukifurahi kazini umnunulie zawadi yeye wa kwanza.....uone kiburi kitakachomfumuka hapo! Ni kama asili hivi mtu akionyeshwa kuwa yeye ni muhimu sana anapata kiburi. Unyenyekevu ni tunda la roho. Mfanyakazi apewe haki yake kama mfanyakazi na apewe haki zake za kibinadamu. Kujaribu kumpa umalkia au ufalme ni kukosea na itakula kwako. Mpe nafasi yake na umheshimu. Halafu naamini kuwa jinsi ya kuhusiana na mfanyakazi ni contigental. Inategemea na yeye yukoje. Vitu vingine vya ziada unajikuta unafanya automatically tu kama mtu ni mwema. Hata shule tunawapeleka mbona?

Halafu tafsiri za manyanyaso hazifanani. Nyumba zingine zina servant quarter na mfanyakazi anatoka kwake kuingia nyumba ya bosi kama mtu mwingine anavyoenda kazini. Chakula anajinunulia kwa mshahara anaolipwa na haoni kama ananyanyaswa. Sasa hawa wa kwetu unamwachia nyumba yako analeta mabasha yake wanafanya nyumba yako gesti, wanawapikia mabasha yao chakula ulichonunulia wanao, nguo ukivua anavaa! kwa nini? kwa sababu hii kazi haieleweki. Mtu anaona kama amekuja kukusaidia.....ni shida! Ifike mahali watu waanzishe vyuo vya ku-train wafanyakazi wa nyumbani, watu wafanye kazi professionally badala ya kubahatisha namna ya kuhusiana. Tufanyiane usaili, tuwekeane mkataba wa kazi. Sielewi anaanzaje kudai haki ya kukaa mezani, sijui kupakua wa kwanza, kulalia sita kwa sita kama mimi, kwenda mitoko nayotoka na wanangu...We unakuja kwangu kufanya kazi au unakuja niku-adopt? Kha! Ndo maana sipendi vitoto vidogo. Nataka mtu mzima anayeweza kujitegemea. Haya mambo ya kujidai tunawapenda kuliko tunavyojipenda wenyewe ndo yale unarudi nyumbani unakuta kila kitu kiko kama ulivyokiacha, mwanao kashinda njaa, diaper imejaa mikojo mpaka anashindwa kutembea!! Lakini akijua yeye ni mfanyakazi mimi ni bosi na kutokufanya kazi kuna consequences lazma atakaa kwa adabu maana haki zake nampa. Mimi mabinti wa kazi walishanifundisha unoko. Sijiongezi. Nampa anachostahili na nikipata anayejitambua anakaa. Huo ni uzoefu niliouishi.
 
Run a background check on househelps? Well next time I will read the CV a
PHP:
nd call up a few referees.

If the pay is enough? Enough is subjective. Why dont we ask a couple of employees in here if their pay is enough and see what answers we come up with!!


Kukagua why my son was threatened? Do you mean to say a two year old can do anytjimg that calls for such a threat?

It is because alikuwa anaitwa avishwe chupi but he was on the move like all toddlers are at his age. If you are patient enough since he can speak and I therefore cant get you an answer at this time, I could ask in a couple of years!!

In the mean time why dont you have yourself a baby or two then you can experoence a Parents peril.

I think it's all fair to look after the welfare of your kid na kuchukua responsibility mwenyewe . Kuanzia unamuacha na mtu wa aina gani and whatnot. Pointing fingers and try to shift the blame will not change the reality. And the reality is we entrust the care of our kids to untrained girls, likitokea lakutokea tunakuwa wajinga na kujaribu ku personalize issues. Waafrika hatupo tayari, let us learn the hard way
 
Alichokifanya huyo jamaa baada ya kuona alichofanyiwa huyo mtoto ni cha kibinadamu sio?

kwa ukatili aliomfanyia yule mtoto hata mimi ningekuwa baba wa yule mtoto ningefanya vile vile au zaidi.....ningemtoa roho kwa mikono yangu.....kama alifanyiwa ukatili na baba/mama wa mtoto angelipiza kwa mama wa mtoto sio kwa katoto ambako hakajui hata kama huyo dada anateswa au hakawezi hata kujitetea...unajua psychological scar aliyomuachia huyo mtoto???inaweza kuathiri maisha yote ya huyo mtoto...she is an animal and she doesnt to be alive at least she should rot in jail.
 
Just exercise due diligence. It won't hurt to conduct background checks and contact some references.

I get that the sophisticated mechanisms for doing that may not be in place but at least you can try.

Myself I'd have possibly choked that girl to death.

any parent would do that...hizi nyingine ni porojo tu...ukute mtu anampiga mwanao kama mwizi utakumbuka haki za binadamu???!!! usintanie namnyonga...
 
any parent would do that...hizi nyingine ni porojo tu...ukute mtu anampiga mwanao kama mwizi utakumbuka haki za binadamu???!!! usintanie namnyonga...

Adrenaline aside, the fact many of these maids get treated badly remains.

Now, of course that fact doesn't in any way justify any cruelty they may mete out to the youngins.
But still it can't be ignored.
 
Adrenaline aside, the fact many of these maids get treated badly remains.

Now, of course that fact doesn't in any way justify any cruelty they may mete out to the youngins.
But still it can't be ignored.

very true, many of them are treated so so badly....i've seen documentaries how they revenge on their bosses from hell and i wasnt disturbed by what they did though they did horrible things!!! but this animal, totally unacceptable!
 
very true, many of them are treated so so badly....i've seen documentaries how they revenge on their bosses from hell and i wasnt disturbed by what they did though they did horrible things!!! but this animal, totally unacceptable!

I couldn't finish watching that tape.

And I like to think I'm tough but that was too much even for me.

Even now my skin crawls when I conjure up the images of the little bit that I saw.

Just horrendous.
 
Wewe mleta mada unatuletea story za kutunga hapa sio? Wewe huyo binti umekutana naye wapi na lini kukwambia hayo uliyoyaandika hapa. Whatever the case, haikubaliki kuteswa na wazazi wa mtoto halafu wewe ugeuze na kuelekeza hasira zako kwa mtoto. Yule kiumbe mdogo vile unamzaba vibao na kumkanyaga eti kisa wazazi wake wamekuhudhi? That is insane, period.

Tiba
 
Pale tunapozaa watoto na kutegemea watu wengine wachukue 100% ya malezi ndio tatizo linapoanzia. Mtoto wako Ni jukumu lako, entirely your responsibility. Kuamua nani awe msaidizi ndani ya nyu.ba pia kunahitaji scrutiny ya hali ya juu,kujua background ya yule anaeishi na mwanao, wazazi na ndugu zake, sababu za yeye kufanya kazi za ndani na mengineyo.

Ninaposoma kuwa trend inayofata Ni kuset hidden camera, cctv camera Ili kuangalia jinsi watoto wanavyokuwa treated.,mmh napata mashaka na judgement zetu. Ukiamua kuzaa, ujue jukumu la malezi ni lako na sio la mtu mwingine.

Labda wenye house helpers waseme kwa kukiri, mishahara kiasi gani wanawalipa wasaidizi wao? Kama yupo anayelipa angalau nusu/robotatu ya kima cha chini cha serilali ni 1:10
 
I couldn't finish watching that tape.

And I like to think I'm tough but that was too much even for me.

Even now my skin crawls when I conjure up the images of the little bit that I saw.

Just horrendous.

and you know what??? she grabbed that little girl by one hand and dragged her to the bedroom....i dont know what the hell happened in there!!!
 
Ni kweli afrika bado hatujajiandaa na haya mabadiliko ya kiuchumi na kijamii. Zamani hakukuhitajika sana wasaidizi wa ndani hasa mayaya kwa sababu tulikuwa tukiishi kijamaa. mtoto anazaliwa anakuta ndani kuna mama mdogo, mjomba, shangazi n.k. wanashirikana kulea. Mie mama yangu alianza shule na miaka 10 kwa sababu alikuwa akibaki na mdogo wake nyumbani wakati mama yao akienda shamba au sokoni. Pia kina mama wengi walikuwa wakifanya shughuli nyumbani au karibu na nyumbani na si kila siku.

Sasa huku mijini mtu unakaa tegeta unafanya kazi posta, hata kurudi home kuchungulia huwezi, unalea kwa simu; mshahara laki 5, hata kulipia dei kea kwa mwezi hautoshi. Kuajiri yaya umpe buku 50 inakuwa nafuu lakini gharama yake ni kubwa kama tulivyoona. Kusema uchukue likizo bila malipo ukae nyumbani miaka miwili ulee mwana ni rahisi kusema kuliko kutenda. Kazi zenyewe hizi za kushinda huko mchana kutwa. Ukisema umlete ndugu yako ili awe jicho la ziada nako kunagharimu. Sharti umtafutie kitu cha kufanya ikiwemo shule. Walau wamama waliojiajiri wenyewe kidogo naona wana jinsi. Kuna fundi nguo jirani kwangu ofisini kwake ana kitanda, anakuja kazini full masinonda na vifaa vya mtoto. Analea na kushona ila ndo hivyo nguo ya kuchukua siku 3 itachukua wiki. Wengine ndo wale tunawaona na makarai ya ndizi au mihogo na watoto wao migongoni juani. Sisi wa ku-sign daftari saa 1.30 tufanyeje?? Tunaambiana hapa tu-trace historia za wasichana wetu. Tutafanikiwa kwa kiasi gani kwa mfano? Akija utamuuliza kama ameshawahi kufanya kazi kama hiyo anakwambia hapana. Akisema ndiyo ukimuuliza amefanya sehemu ngapi atakwambia kwako ni kwa pili kumbe ni kwa 9. Kwa nini aliondoka alikokuwa atakwambia bibi alikufa, nikaenda kuzika, kurudi nikakuta ameshaajiriwa mtu mwingine, au kule nilikokuwa nilikuwa nateswa. Kwenu wapi? atakwambia katoro geita. sasa sijui utapanda fast jet kwenda huko kuhakiki taarifa zake huko geita? kwa nini umekuja huku kufanya kazi? baba na mama wamefariki au nilifaulu baba akakataa kunisomesha ndo nikaja kutafuta kazi........ ......

Suluhisho kwa mazingira kama yetu:
1. Kujipanga na kupanga uzazi. Unaamua utazaa 2017 kwa hiyo unakusanya hela za kukutosha miaka miwili (kasheshe uzazi uwe wa shida).
2. Kuolewa na mwanaume mwenye uwezo wa kukutunza wewe na wanao (uombe asife, na akifa upate urithi) ili ukae na wanao nyumbani.
3. Kutafuta mpunga wa kutosha uwe unaacha mtoto kwenye kituo cha malezi. Hapa dar kwa mfano sijui viko vingapi vinavyoweza kulea mpaka watoto wachanga na usalama wake kwa afya za watoto. Sitaki hata kuulizia bei.
4. Kufanya biashara ambayo haikui ili isile muda wako upate muda wa kukaa nyumbani.
5. Kuanzisha biashara ya kituo cha malezi, unakuwa mkurugenzi na wanao wanalelewa humo humo
6. Kuhamia nchi ambayo usalama wa kijamii (social security) ni mkubwa
7. katiba mpya iamrishe kila mwajiri awe na facility ya kulelea watoto
8. kutozaa kabisa. Jukumu la kuzaa lifanywe na kina mama wanaoweza kulea full time.
9. ku-freeze mayai na mbegu mpaka mazingira ya nchi yatakapoboreka maana baadhi yetu tutakuwa wazee.
(hapa nimechukulia walezi wakuu ni kina mama).
 
chochote kile haki-justify kitendo alichofanya yule dada.....kama aliona mateso yamezidi angeondoka,wapo madada wengi tu wanateswa mwisho wanatoroka au wanaomba kuondoka.....kitendo alichofanya ni cha kinyama na anastahili adhabu kali.

Sawa kabisa. Hamna justification yoyote ya ule unyama. Kwa mdada mwenye utu angeondoka hata kama hajalipwa hata senti tano. Msipende kujustify uhalifu! Of course waajiri wanatakiwa kuzingatia utu si kwa sababu ya kogopa kutesewa watoto wao bali maids wana mahitaii kama watoto/binadamu - upendo, malazi mazuri, kupumzika. MAid km ni mtu mzima anahitaji mahusiano. Unamfungia ndani humpi off ukimhisi na hub umtupie vitu vyake nje bila kumpa malipo yake hapana nayo hii haikubaliki!
 
Back
Top Bottom