Pole Membe, unavuna ulichopanda

Pole Membe, unavuna ulichopanda

Ila kweli jamaa alikuwa na mbwembwe za kitoto sana. Mara achapishe kadi feki awape wanakijiji wake wakatupe. Mara atishie kutumia uchawi, khaaa. Utafikiri Ngosha kwao hakuaga.
Leo eti na yeye anapew uteuzi na Zitto Kabwe 😂😂😂😂😂
 
Mleta mada usitusemee
Sisi tunasimama na Bernad Kammilius Membe
Yeye ni mgombea pekee mwenye maono, sera na substance zinazohusu maendeleo sahihi ya mwananchi.

Katika wagombea wote wenye kuzungumza masuala ya wananchi, Membe ndiye anayeongoza!
 
Tupo pamoja, ila shida ni hawa waliokuwa wanajaza post humu za kumtukuza membe alafu sasa hivi wanaanza kumtukana
Mleta mada usitusemee
Sisi tunasimama na Bernad Kammilius Membe
Yeye ni mgombea pekee mwenye maono, sera na substance zinazohusu maendeleo sahihi ya mwananchi.

Katika wagombea wote wenye kuzungumza masuala ya wananchi, Membe ndiye anayeongoza!
 
Leo nitajikita kumshauri mgombea uraisi wa ACT wazalendo na wanasiasa wengine wa aina yake kwa kuwa naona kuna jambo sasa hivi halipo sawa. Ulipoaanza kuishambulia CCM kuna kundi kubwa sana liliibuka na kuku-support huko mitandaoni bila kujua kuwa hilo kundi kubwa huenda hata halipo ni watu wachache sana wanaotumia fake ID's nyingi ili kuonyesha kuwa upo sahihi.
Wakakupa kila aina ya sifa kuwa wewe ni jasusi mbobezi, mara mwanadiplomasia nguli, na wakafika mbali kwa kusema wapo tayari wakusaidie kushinda uraisi ukiwa CCM.

Bila kujiuliza na kutumia huo ujasusi waliokuvika ukaingia king mzima mzima. Sasa swali ulilonalo sasa je lile kundi limeenda wapi?? Ule ujasusi na udiplomasia nguli sasa hivi huna?? Ulikuwa ukiweka vijembe kwenye social media ulipata kila aina ya sifa, ndani ya dakika kadhaa tu comments za ID fake zinafika hadi 500, huku wakiwa na hashtag twende na membe 2020.

Sasa hivi vipo wapi vyote hivyo? Mbona wanaishia tena kukutukana na kukuita majina mabaya?? Membe uliwadekeza wale watu wa ID fake na mwisho ukazidi kuwapa bichwa kwa kuwaambia waendelee kutoa uhuru wa maoni kwa kadri watavyoona. Sasa ivi wanavyokutukana mbona unanuna tena jasusi??

Zile ID's zimehama kwako zimehamia kwa lissu, naye kishaingia king. Hajui kuna siku zitamtukana kila aina ya tusi na atashindwa kuelewa nini kimemtokea, ni suala la muda tu.

Membe nakuuliza tena, ule upepo wako upo wapi tena?? Mimi binafsi bado nakuona mtu mzuri anayeweza kuwa raisi mzuri tu ila tatizo wale wengi wenye ID's fake wamekukimbia na kuanza kukutukana hivyo tunaishiwa nguvu ambao tumebaki na wewe.
Membe bado yupo kwenye mstari myoofu na atakuwa ndani ya muungano na atatimiza ndoto yake vizuri kabisa kama mwanzo, subirini mchakato ukamilike msiwe na short conclusions.
 
iMEKUWAJE tena leo Membe anamuita Magu ´´Mzee Wetu´´ ?

Nimesikia hii akiwa anazungumzia jinsi ACT ilivyojipanga kufanya kampeni za kistaarabu, ili uraisi utoke ´´Kwa mzee wetu Magufuli´´ uje kwa ´´Mzee Membe´´.

Mbwembwe na nyodo za jasusi mbobezi mbona zinazimika wakati ngoma bado mbichi?
 
Siasa ndivyo ilivyo. Lowasa, Mrema, na Sumaye wako wapi? Wote wamerudi "nyumbani". Kazi kweli. Upinzani unahitaji uvumilivu wa hali ya juu.
Lakini kumbuka ushindi ni kura, kumkataa aliye hama kutoka ccm haikufaidishi bsli unapoteza kura yake.

Anao mchango wa wapiga kura, sio kuongoza chama cha upinzani.
 
I
Leo nitajikita kumshauri mgombea uraisi wa ACT wazalendo na wanasiasa wengine wa aina yake kwa kuwa naona kuna jambo sasa hivi halipo sawa. Ulipoaanza kuishambulia CCM kuna kundi kubwa sana liliibuka na kuku-support huko mitandaoni bila kujua kuwa hilo kundi kubwa huenda hata halipo ni watu wachache sana wanaotumia fake ID's nyingi ili kuonyesha kuwa upo sahihi.
Wakakupa kila aina ya sifa kuwa wewe ni jasusi mbobezi, mara mwanadiplomasia nguli, na wakafika mbali kwa kusema wapo tayari wakusaidie kushinda uraisi ukiwa CCM.

Bila kujiuliza na kutumia huo ujasusi waliokuvika ukaingia king mzima mzima. Sasa swali ulilonalo sasa je lile kundi limeenda wapi?? Ule ujasusi na udiplomasia nguli sasa hivi huna?? Ulikuwa ukiweka vijembe kwenye social media ulipata kila aina ya sifa, ndani ya dakika kadhaa tu comments za ID fake zinafika hadi 500, huku wakiwa na hashtag twende na membe 2020.

Sasa hivi vipo wapi vyote hivyo? Mbona wanaishia tena kukutukana na kukuita majina mabaya?? Membe uliwadekeza wale watu wa ID fake na mwisho ukazidi kuwapa bichwa kwa kuwaambia waendelee kutoa uhuru wa maoni kwa kadri watavyoona. Sasa ivi wanavyokutukana mbona unanuna tena jasusi??

Zile ID's zimehama kwako zimehamia kwa lissu, naye kishaingia king. Hajui kuna siku zitamtukana kila aina ya tusi na atashindwa kuelewa nini kimemtokea, ni suala la muda tu.

Membe nakuuliza tena, ule upepo wako upo wapi tena?? Mimi binafsi bado nakuona mtu mzuri anayeweza kuwa raisi mzuri tu ila tatizo wale wengi wenye ID's fake wamekukimbia na kuanza kukutukana hivyo tunaishiwa nguvu ambao tumebaki na wewe.
le twende na Membe 2020 si isikii tena haaa haaa waTZ nyoko sana.
 
Leo nitajikita kumshauri mgombea uraisi wa ACT wazalendo na wanasiasa wengine wa aina yake kwa kuwa naona kuna jambo sasa hivi halipo sawa. Ulipoaanza kuishambulia CCM kuna kundi kubwa sana liliibuka na kuku-support huko mitandaoni bila kujua kuwa hilo kundi kubwa huenda hata halipo ni watu wachache sana wanaotumia fake ID's nyingi ili kuonyesha kuwa upo sahihi.
Wakakupa kila aina ya sifa kuwa wewe ni jasusi mbobezi, mara mwanadiplomasia nguli, na wakafika mbali kwa kusema wapo tayari wakusaidie kushinda uraisi ukiwa CCM.

Bila kujiuliza na kutumia huo ujasusi waliokuvika ukaingia king mzima mzima. Sasa swali ulilonalo sasa je lile kundi limeenda wapi?? Ule ujasusi na udiplomasia nguli sasa hivi huna?? Ulikuwa ukiweka vijembe kwenye social media ulipata kila aina ya sifa, ndani ya dakika kadhaa tu comments za ID fake zinafika hadi 500, huku wakiwa na hashtag twende na membe 2020.

Sasa hivi vipo wapi vyote hivyo? Mbona wanaishia tena kukutukana na kukuita majina mabaya?? Membe uliwadekeza wale watu wa ID fake na mwisho ukazidi kuwapa bichwa kwa kuwaambia waendelee kutoa uhuru wa maoni kwa kadri watavyoona. Sasa ivi wanavyokutukana mbona unanuna tena jasusi??

Zile ID's zimehama kwako zimehamia kwa lissu, naye kishaingia king. Hajui kuna siku zitamtukana kila aina ya tusi na atashindwa kuelewa nini kimemtokea, ni suala la muda tu.

Membe nakuuliza tena, ule upepo wako upo wapi tena?? Mimi binafsi bado nakuona mtu mzuri anayeweza kuwa raisi mzuri tu ila tatizo wale wengi wenye ID's fake wamekukimbia na kuanza kukutukana hivyo tunaishiwa nguvu ambao tumebaki na wewe.
Mbona sijaona ulichoshauri hapo? Au ulifikiri kutoa ushauri ni jambo rahisi!?
 
Siasa ndivyo zilivyo, nashangaa hujamuonya Mbatia! Kuna kipindi ID fake zilimpa primo sana mitandaoni na kumuaminishia kuwa anaweza kuwa na nguvu uchaguzi hui na kuwa chamá kikuu cha upinzani! Lakini ameachwa solemba na hatuoni zile nyuzi za NCCR!
 
Kazi walishakabidhiwa UVCCM siku ile mwenyekiti alipochukua form. Wameshaanza kugawana threads humu. Wapuuzi. Tukaneni wee, mkejeli wee, mwisho wa siku uteuzi unakwenda BAVICHA.
 
Leo nitajikita kumshauri mgombea uraisi wa ACT wazalendo na wanasiasa wengine wa aina yake kwa kuwa naona kuna jambo sasa hivi halipo sawa. Ulipoaanza kuishambulia CCM kuna kundi kubwa sana liliibuka na kuku-support huko mitandaoni bila kujua kuwa hilo kundi kubwa huenda hata halipo ni watu wachache sana wanaotumia fake ID's nyingi ili kuonyesha kuwa upo sahihi.
Wakakupa kila aina ya sifa kuwa wewe ni jasusi mbobezi, mara mwanadiplomasia nguli, na wakafika mbali kwa kusema wapo tayari wakusaidie kushinda uraisi ukiwa CCM.

Bila kujiuliza na kutumia huo ujasusi waliokuvika ukaingia king mzima mzima. Sasa swali ulilonalo sasa je lile kundi limeenda wapi?? Ule ujasusi na udiplomasia nguli sasa hivi huna?? Ulikuwa ukiweka vijembe kwenye social media ulipata kila aina ya sifa, ndani ya dakika kadhaa tu comments za ID fake zinafika hadi 500, huku wakiwa na hashtag twende na membe 2020.

Sasa hivi vipo wapi vyote hivyo? Mbona wanaishia tena kukutukana na kukuita majina mabaya?? Membe uliwadekeza wale watu wa ID fake na mwisho ukazidi kuwapa bichwa kwa kuwaambia waendelee kutoa uhuru wa maoni kwa kadri watavyoona. Sasa ivi wanavyokutukana mbona unanuna tena jasusi??

Zile ID's zimehama kwako zimehamia kwa lissu, naye kishaingia king. Hajui kuna siku zitamtukana kila aina ya tusi na atashindwa kuelewa nini kimemtokea, ni suala la muda tu.

Membe nakuuliza tena, ule upepo wako upo wapi tena?? Mimi binafsi bado nakuona mtu mzuri anayeweza kuwa raisi mzuri tu ila tatizo wale wengi wenye ID's fake wamekukimbia na kuanza kukutukana hivyo tunaishiwa nguvu ambao tumebaki na wewe.
hili la kwako nalo ni tusi lakini!
 
Membe vigogo wanaomsubiri kumfuata kutoka ccm wako wapi maana filimbi imelia hawajaonekana au ndo hao wamekuuza mzimamzima
 
Membe sijaelewa kabisa calculations zake

Jasusi mbobezi alishindwa kabisa kufahamu kuwa wana CCM wa sasa wanamuogopa magufuli kuliko mtu yeyote hapa Tz, hakuna wa kumpinga magufuli hadharani kwa CCM hakuna, Magu ametia watu unyonge, amewatia udhaifu na ulemavu wa kifikra, maana ukimpinga leo, kesho unaanza kuishi kama shetani. Hivyo watu aliodhani wapo nyuma yake, hawawezi hata kuthubutu kupiga hatua moja nae.

Binafsi siwezi acha kutupa lawama kwa Rais Magufuli na uongozi wake wa chuki, vitisho na visasi. 2015 kwenye moja ya kikao sikumbuki vizuri kilikuwa ni cha KK ya CCM au vinginevyo, nilishuhudia kiongozi mmoja akipingana kwa hoja (katiba ya chama) na viongozi wake wakubwa zaidi ya wanne akiwemo Mzee kikwete, Mzee kinana, Bi Asharose, na Nape na wengineo. Leo hii nani anaweza kuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Magufuli? Nani? Hii ndio tafsiri ya kinachotokea kwa Membe kwa sasa labda watamuunga mkono gizani, napo gizani pamemulikwa kweli kweli, Ngoja tuone.
 
Back
Top Bottom