Naomba tu niseme kwamba kama nimeoa mwanamke means nimeridhika na kila kitu kutoka kwake, SISOMESHI HATA MKE ACHILIA MBALI MCHUMBA AU DEMU... mwanamke kama asingekuwa ameridhika na elimu yake asingekubali kuolewa... angeniambia tu kuwa bado anahitaji kusoma, MIMI NINGEMSUBIRIA KAMA MUNGU NDO KANIPANGIA.. Na ikilazimika kusoma wakati nimeshamuoa chakufanya NI KUMRUDISHA KWAO AKASOMESHWE NA BABA YAKE/MAMA YAKE/NDUGU ZAKE... akimaliza ndo arudi kwangu kuendelea na maisha ya ndoa... KAMA HATAKI AISHIE MAPEMAAAAAAAAAAAAA......
SIOI MWANAMKE ILI NIWE BABA YAKE... NAOA ILI NIWE MUME WAKE...