Pole apewayo mwanaume baada ya kuduu inamaanisha nini?

Pole apewayo mwanaume baada ya kuduu inamaanisha nini?

hahaaa....mkuu kama unapewaga pole ujue your work done is equal to ZERO
Sidhani mkuu !!!
Maana mwanamke usiyempa pesa na usimridhishe harafu arudi kwako sijui kama ni kweli
Wasingekuwa wanarudi wenyewe bila kuwafuatilia wala kuwapa chochote ningekubali
Sasa kama hapewi hela
Haridhishwi arudi kufanya nn?
 
Ina maana zaidi ya moja.
1.Kazi uliyofanya ni nzito imeridhisha na hivyo itakuwa imekuchosha.(moyoni kwake wewe ni shujaa)
2.Umejihangaisha na ukajitahidi lakini kazi haijaridhisha,na kwa hiyo unapewa pole kwa udhaifu ulioonyesha. (inaambatana na huruma moyoni)
3.Ulipagawa ukawa kama kichaa mambo yakawa ni vululuvululu tu unapewa pole kwa ushamba wako (na kicheko cha dhihaka moyoni)
 
kuombwa hela mkuu
Wanaoniambia hiv huwa hawaombi hela katk kipindi cha namna hii
Nilishawagundua hawainguzagi kabisa mambo ya pesa kunako wakati huo
Kama ni kuomba anaweza potea muda akija kuonana pasipo faragha ndo anaomba hata ukimwambia huna hawanashida.
 
Ni kweli ina maana umemuacha alivyo na nguvu zake. Ukimgegeda vyema hata pumzi ya kukupa pole huwa hanayo
Mkuu kuna mmoja ilibidi apumzike saa nzima ndo aanze safari
Maana alikuwa akisimama tu anapepesuka na kuanguka ilimchukua kama 45 minutes hiv kuja kuwa angalau kuweza kutembea mkuu
Jibu lako bado ninawasiwasi
 
Hebu cku moja simamia ukucha halafu umpige show ya kibabe kama atakwambia pole,,,,,atabaki anajigeuza tu kitandani
Mkuu umenena nadhani ilishakutokea kumbe sio msiba wangu peke yangu
 
Tanzania ya viwanda au ya mapenzi.
Mkuu ujue hakuna kiwanda pasipo mapenzi unajua hilo
Ulishawahi kunyimwa kisa huna pesa jinsi utakavyoweza kuisaka
Ndo maana mgabe akasema


Wanawake wakitaka tiba ya HIV ipatikane wawanyime tu wanaume tendo akasema tiba itapatikana ndani ya mwezi mmoja
 
Ina maana zaidi ya moja.
1.Kazi uliyofanya ni nzito imeridhisha na hivyo itakuwa imekuchosha.(moyoni kwake wewe ni shujaa)
2.Umejihangaisha na ukajitahidi lakini kazi haijaridhisha,na kwa hiyo unapewa pole kwa udhaifu ulioonyesha. (inaambatana na huruma moyoni)
3.Ulipagawa ukawa kama kichaa mambo yakawa ni vululuvululu tu unapewa pole kwa ushamba wako (na kicheko cha dhihaka moyoni)
namba moja imekaa powa kwa upande wangu hehehehe!!!
 
Wakuu habari za weekend!!!
Natanguliza shukrani zangu kwenu kwa wote mtakaosoma ujumbe na wale mtakaonijibu na hao watakaopita kimya

Nimekuwa nikitatizwa na hili jambo pindi mwanaume anapomaliza kubanjuka mwanamke anatoa neno hili

"Pole pole sana mpenzi" huku mwanaume ukitokwa na jasho na mhemo wa juu kama ulikuwa unambio ndefu sana

Hivi hii inaashiria nini kwa mwanaume?
Na mwanamke anakuwa na maana gani kwa mume
Natanguliza shukrani
Kumwaga
 
nachojua mara nyingi mwanamke ukimfikisha kileleni na kumridhisha haswa pale ushukapo kifuani kwakwe neno la kwanza kumtoka kinywani kwake ni "asante ...... wangu" hiyo pole sasa sijui ni inamtoka coz unaonekana umechoka sana ama vipi?
 
Back
Top Bottom