Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Tunasubiri vocha zako mkuuHahaha!!
Tunasubiri vocha zako mkuuHahaha!!
Ule uzi umefutwa mkuuTeh ...
Nimeona ...Ule uzi umefutwa mkuu
Vocha zangu nitazishtukiza siku zijazo usiku wa mananeTunasubiri vocha zako mkuu

Teh ...Vocha zangu nitazishtukiza siku zijazo usiku wa manane![]()
Mkuu nafasi ya mwisho kwa halotelKwa nn mkuu..
Wamefuta uzi wetuTeh ...
Ubuyu wa stoney tangawiZWamefuta uzi wetu
Ubuyu wa stoney tangawiZ
Sikua online
Hata sijausoma mwww






Teh ...
Ulifika sehemu tamu..!
Kwa kuangalia serial number ya vocha hizo, nina uwezo wa kung'amua zimeingizwa kwenye simu yenye/zenye IMEI gani na hata kwenye namba gani za simu, hivyo nina uwezo wa kuanika jina halisi la mwenye ID hii ya na hivyo kuweza kufuatilia post zake na mlengo wake, kama ni wa kuiunga mkono au kuikosoa serikaliUzi tayari.


Mimi sijapata vocha natumia AirtelNa update zingine za tigo hivi punde..
Kwa hyo tukusaidieje?Kwa kuangalia serial number ya vocha hizo, nina uwezo wa kung'amua zimeingizwa kwenye simu yenye/zenye IMEI gani na hata kwenye namba gani za simu, hivyo nina uwezo wa kuanika jina halisi la mwenye ID hii ya na hivyo kuweza kufuatilia post zake na mlengo wake, kama ni wa kuiunga mkono au kuikosoa serikali
Kwa kuangalia serial number ya vocha hizo, nina uwezo wa kung'amua zimeingizwa kwenye simu yenye/zenye IMEI gani na hata kwenye namba gani za simu, hivyo nina uwezo wa kuanika jina halisi la mwenye ID hii ya na hivyo kuweza kufuatilia post zake na mlengo wake, kama ni wa kuiunga mkono au kuikosoa serikali
Usitake kunisaidia mimi, msaidie huyo mleta mada kwa kumwambia kuwa awe makini na vitu anavyopost, vingine ninamuanikaKwa hyo tukusaidieje?