Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,745
- 10,078
Mara nyingi watu hujisahau sana na kujikuta pasi imeunguza nguo na hivyo kubaki na mabaka meusi ambayo kama ukinyoosha nguo ambayo ni nyeupe, kuna uwezekano nguo kuchafuliwa...
Basi mimi binafsi utafiti nilioufanya, nimegundua njia ndogo ya kuondoa madoa katika pasi.
Tafadhali fuata hatua hizi!
1:chomeka pasi yako katika umeme, ongeza moto mpaka point ya maximum
2aka pasi yako sabuni ya kipande (tafadhali sabuni isilowekwe) sehemu ya kunyooshea!
3:chukua kidonge chochote kama ni panadol au aspirin, weka juu ya pasi sehemu ya kunyooshea halafu sugua kwa kutumia kitambaa au nguo nzito ili usiungue!
4ngeza vidonge kadiri viishavyo mpaka madoa yatakapoisha kwenye pasi yako!
Futa pasi kwa kitambaa hicho kizito wakati pasi ikiwa ya moto na kidonge kikiwa kimeyeyuka!
Hodi jamani ndo kwanza naingia jf!
Basi mimi binafsi utafiti nilioufanya, nimegundua njia ndogo ya kuondoa madoa katika pasi.
Tafadhali fuata hatua hizi!
1:chomeka pasi yako katika umeme, ongeza moto mpaka point ya maximum
2aka pasi yako sabuni ya kipande (tafadhali sabuni isilowekwe) sehemu ya kunyooshea!
3:chukua kidonge chochote kama ni panadol au aspirin, weka juu ya pasi sehemu ya kunyooshea halafu sugua kwa kutumia kitambaa au nguo nzito ili usiungue!
4ngeza vidonge kadiri viishavyo mpaka madoa yatakapoisha kwenye pasi yako!
Futa pasi kwa kitambaa hicho kizito wakati pasi ikiwa ya moto na kidonge kikiwa kimeyeyuka!
Hodi jamani ndo kwanza naingia jf!