Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,604
- 6,611
Habari zenu wakubwa..natumaini wote ni wazima
Hizi siku mbili tatu nimepata changamoto kwenye nguo zangu.Nguo zinabaki na madoa baada ya kuzipiga pasi,mpaka sasa nguo kama tano hivi zina madoa na nimejaribu kuzifua lakini madoa hayatoki na sijajua inakuaje mpaka pasi inaacha doa kwenye nguo
Kama kuna mtu anafahamu chanzo au alishawahi kupitia changamoto hii naomba anipe muongozo na jinsi ya kuondoa hayo madoa kama inawezekana
Madoa yenyewe yanaonekana hapo chini kwenye picha
Hizi siku mbili tatu nimepata changamoto kwenye nguo zangu.Nguo zinabaki na madoa baada ya kuzipiga pasi,mpaka sasa nguo kama tano hivi zina madoa na nimejaribu kuzifua lakini madoa hayatoki na sijajua inakuaje mpaka pasi inaacha doa kwenye nguo
Kama kuna mtu anafahamu chanzo au alishawahi kupitia changamoto hii naomba anipe muongozo na jinsi ya kuondoa hayo madoa kama inawezekana
Madoa yenyewe yanaonekana hapo chini kwenye picha